Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

Mzee muhammed said Hongera kwa kuweka mambo ya historia bayana.

Watu wema na wenye nia safi watafurahia,

lakini wengi wenye nia ovu wanaochukia histori ya kweli,
wanachukia kuona wazee wetu hawa wenye Vubarakhashia kwa jinsi walivyojitolea kuutafuta uhuru wa nchi hii ,
Na hatimae wengi wao baada ya uhuru walitupwa nje ya siasa na hata kutajwa kwenye historia ya uhuru wa nchi hii.
Wengine kupewa bahshish ya viwanja kariakoo na magomeni.
lakini kwenye Serikali walitengwa na udini ukachukua mkondo wake.

Hadi leo Nafasi ya uwakilishi kwa watu wetu wa aina hii ya vibalaghashia imekuwa teteserikalini na kwenye taasisi za umma
 
Swala la tetesi kwel lipo nmeona kabisaaa umenena kweli .
 
Uzi wenye madini adimu na adhimu kabisa katika historia ya nchi yetu.Hongereni na asanteni sana kwa mtoa mada na wachangiaji wote.Itakuwa vema iwapo tutauendeleza.
 
Mwalimu nyerere wala hakuonana nae..aliwaambia ageuze aendelee na safari yake kwingine alikotumwa.
 
Tuwalaumu wakoloni jana, Leo na hata kesho. Kiongozi mjanja anafikiria kuhusu nchi yake na watu wake walimuua. Hii ndiyo hali ya Africa yote Leo inafanana kiuchumi na kimaendeleo, hii haiko hivi kwa bahati mbaya. Wakoloni waliwakumbatia viongozi wezi nabwasiokuwa kizuizi kwa uporaji wa Mali za umma. Bila kupepesa macho wakoloni waliwapenda zaidi viongozi wakatoliki kuliko wa madhehebu mengine, labda baadae tuanzishe Uzi mpya kuhusu hili lakini ndugu zangu wakoloni hawakutoa Uhuru kwa nchi zetu kwa huruma au kuzidiwa nguvu bali walifanya vile kwakuwa walibuni mfumo mwingine Bora zaidi wa ukoloni kuliko ule wa Berlin wa kugawanga physical makoloni. Mfumo mpya unawafanya kututawala bila kulazimika kuumwa na mbu huku kwenye nchi za ukanda wa joto.

Bottom line tusiwalaumu viongozi wetu, hali ilikuwa tete kipindi Chao na hata kipindi hiki. Mfano, hata wewe unaelalamika hapa kuhusu hawa wazee kwanini unashindwa kuyatoa hayo mabaki na mazalia ya viongozi wa zamani? Bila shaka hata na nawewe Leo ni muwoga, sio jasiri na huwezi kufurukuta kuilimda demokrasia isipindishwe.
 
Kweli hàkuna best app kama JF

Dah! Miakà ya nyuma kidogo inaonekana kulikua na wachangiaji makini sn ktk jukwaa hili😇
 
Nyingine ambayo huwa naiangalia sana ni pale Nyerere alipotembea kwa mguu kutoka Butiama hadi Mwanza ati akiwa anaunga mkono Azimio la Arusha. Nadhani kuwa haya yalikuwa ni matumizi mabaya kabisa ya mali za umma.

Kutembea kwake kuliugharimu umma kiasi gani?
 
Samahani wadau Mimi ni mshiriki wa andiko stories of change na andiko langu linakwenda kwa jina la NANI ATAWAFUTA MACHOZI WASOMI TANZANIA? Naomba unishike mkono kwa kunipigia kura,asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…