Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

WELL,nchi kuwa na deni au kutokuwa na deni,means nothing,if that status quo does not reflect on the standard of living of her people.sasa zanzibar kutokuwa na deni and yet wananchi dont see the fruits of such position is tantamount to zero.afadhali kuwa na deni,ambalo lina rub off kwa wananchi,in terms of a higher standard living
...ndio maana Shk Abeid Amaan Karume aliamrisha wananchi wote Unguja na pemba wakti huo kujitolea kujenga majumba ya maendeleo ya Michenzani, Kilimani mpaka Makunduchi, na serikali yake ilihakikisha kila mwenye flat anapatiwa 'Televisheni' kuona maendeleo, na Jiko la umeme, kuepusha kupikia kuni ndani ya flat.

...Wakti huo pia kulijengwa nyumba za wazee Kiembesamaki, kwa wale wasojiweza, leo hii nyumba za wazee Kiembesamaki ni wenye uwezo walozinunua, 🙁 , ...alipouwawa na kasi ya ujenzi wa haya majumba ikaishia hapo

attachment.php
 
Mchongoma sijaelewa hayo masaa

....Oh, pole mkuu,

Experience ya urubani inategemeana na masaa mangapi 'ume clock' ukiwa unarusha ndege (angani). Ile ndege muda mwingi ilikuwa angani hata bila 'Mkuu' mwenyewe.

BTW, ile presidential jet ya Komandoo Salmini, iliyo roll "yenyewe" (kwenye ground) na kupata ajali Lilongwe ilikuwa bahati mbaya au uzembe wa Rubani?
 
Nimekupata, nilimaanisha kwa mkuu hakuwa akifanya kazi ila kusafiri saana? kumbe ilikuwa angani bila ya hata yeye kuwepo.

Nani alikuwa anasafiri nayo? na kwa malengo yapi?
 
karume aliikuta zanzibar tajiri sana................ila maajabu badala ya kuipeleka mbele akairudisha nyuma!
 
karume aliikuta zanzibar tajiri sana................ila maajabu badala ya kuipeleka mbele akairudisha nyuma!

...hu ndio ukweli...na aliitumia pesa kwa vurugu sana .familia ya karume inamiliki property hadi marekani,amani na ali sio maskini wale hata kama wasingekuwa wanasiasa leo hii..na alipoongia aboud jumbe akazimalizia....

..hilo la kusema zanzibar ilifilisika kwa kutoa pesa kwenye vita kagera si kweli..kwani hata kama walitoa pesa hazingetosha kuendesha vita hata wiki moja..ila hatupuuzi mchango wao kwenye vita..lakini sio sababu ya kukauka hazina yao....
 
Picha Iiliyomwogopesha MKAPA ilipigwa Msikiti wa Mtambani baada ya mauaji ya Mwembechai

Image29.jpg
 
FMES said:
Hivi si nasikia kuna wakati serikali ya mapinduzi Zanzibar ilikuwa haidaiwi deni na serikali yoyote duniani, au?

FMES,mgirima,FairPlayer,Philemon Mikael,Kibunango,mchongoma,

..hata Tanganyika ilikuwa haidaiwi, na ilikuwa na akiba kwenye hazina, wakati tunapata uhuru 1961.

..serikali za mkoloni ilikuwa hai-invest kwenye huduma za kijamii[shule,barabara,hospitali,maji,...] ndiyo maana ikiweza kulimbikiza akiba wakati iko madarakani.

..serikali ya Sultani nayo ilikuwa haifanyi lolote lile kuinua hali ya Watumwa/Weusi kule Zanzibar.

..hebu tujiulize Wapemba wangapi walikuwa na access na hiyo TV ya rangi? Wazanzibari wangapi waliweza kwenda shule au hospitali, au walikuwa na access ya maji safi? i can go on and on.

..Karume naye alipokuja sidhani kama ali-invest zile fedha vizuri. alitakiwa kutoa kipaumbele ktk ujenzi wa viwanda, siyo nyumba za kutunza wazee bure.

..wakati Karafuu iko juu, Kahawa na Mkonge vilikuwa na bei nzuri sana. actually Tanganyika ilikuwa kati ya wazalishaji wakubwa wa mazao hayo mawili.

..miaka ya 70, kulipotokea OIL CRISIS ya kwanza, uchumi wa Tanganyika haukuyumba sana kwasababu ya mapato yaliyotokana na KAHAWA.

..kwa msingi huo hii minong'ono kwamba Tanganyika ndiyo imeifilisi Zanzibar ni ya kuitilia mashaka makubwa.

..Zanzibar imefilisika kutokana na kuanguka kwa zao la Karafuu. Pia serikali ya Zanzibar ni kubwa mno na mzigo kwa wananchi. zaidi Zanzibar wana imani potofu kwamba bandari yao itawasaidia kuliko viwanda.
 
wajameni tuseme ukweli japo unauma

Vita vya Uganda nini chanzo chake? na kwanini tulipitiliza mpaka tukafika hadi Sudan wakati tulihitaji kumuondosha adui nchini mwetu? hivi si kuivamia nchi ya watu kama sisi ndio wenyewe bila ya kutizama gharama? Kabla ya vita kulikuwa na silaha pale Zanzibar zilizokuja kutoka Urusi na zilinunuliwa na SMZ kwa pesa kamili sio mali kauli, zipo wapi silaha kutoka Tank mpaka ndege?
Tunaposema kuwa mtawala wa Zanzibar hakuwekeza kwenye maendeleo huko jee kina Aboud Jumbe na Ali Hassan walisoma wapi na serikali gani iliwasomesha, tutizame jee takwimu za 64 to go down (watu) kulingana na income na baada ya 64 to go up ipi ilikuwa juu? skuli ngapi zilizojengwa before Mapinduzi per population na standard ya elimu against school baada ya mapinduzi per population per standard?

Kweli tupinge ukoloni lakini mengi baada ya mapinduzi yaliyofanyika na kuendelea ni urudishaji nyuma wa maendeleo, baada ya mapinduzi kulikuwa hakuna audit na hayo tutizame nani walikuwa mawaziri na nani walikuwa wakiongoza? Mh Karume alikuwa hawapendi watu waliosoma, Muulizeni Mh Kassim Hanga, Othman Sharif na wengi kati yao ambao bila ya kosa isipokuwa usomi ndio ulowapeleka walipo

Aboud Jumbe, Hasnuu Makame, Othman Sharif, Kassim Hanga, Ali Hassan Mwinyi jee hawa walisomeshwa na nani na serikali gani
 
STATE DEPARTMENT nao katika kumbu kumbu mwaka 2002 walisema hivi:
xpt_shim.gif

Tanzania
International Religious Freedom Report 2002
Released by the Bureau of Democracy, Human Rights, and Labor



There was no change in the status of respect for religious freedom during the period covered by this report. Some urban Muslim groups are sensitive to perceived discrimination in government hiring and law enforcement practices. Muslims continued to perceive government discrimination in favor of Christians in schools, the workplace, and places of worship.

There are generally amicable relations among religions in society; however, there was an increase in tension between Muslims and Christians and between secular and fundamentalist Muslims.

The U.S. Government discusses religious freedom issues with the Government in the context of its overall dialog and policy of promoting human rights.

Section I. Religious Demography

xpt_shim.gif

The country has a total area of 364,900 square miles, and its population is approximately 35 million. Religious leaders and sociologists generally believe that the country's population is 30 to 40 percent Christian, 30 to 40 percent Muslim, and that the remainder consists of practitioners of other faiths, traditional indigenous religions, and atheists. Zanzibar, which accounts for 2.5 percent of the country's population, is 98 percent Muslim. Current statistics on religious demography are unavailable; religious surveys were eliminated from all government census reports after 1967. The Christian population is comprised of Roman Catholics, Protestants, Pentecostals, Seventh-Day Adventists, the Church of Jesus Christ of Latter-Day Saints (Mormons), and Jehovah's Witnesses. Between 80 to 90 percent of the Muslim population is Sunni; the remainder consists of several Shi'a groups.



Kisha wakaendelea kusema hivi:

Image31.jpg


Section II. Status of Religious Freedom

Legal/Policy Framework

The Constitution provides for freedom of religion, and the Government generally respects this right in practice, subject to measures that it claims are necessary to ensure public order and safety; however, there were a few limits on this right............

HALAFU patamu ni [anasema hivi kwenye hiyo ripoti ya STATE DEPT...

In 1998 the Government dissolved its national and regional parole boards after complaints that they did not include Muslim members, even though the majority of the prison population is Muslim. The boards were reconstituted in February 1999 with a more religiously diverse membership. During the period covered by this report, the Government's investigation determined that the allegations that the National Muslim Council was receiving money from outside of the country were unfounded.

xpt_shim.gif


Restrictions on Religious Freedom


The law prohibits preaching or distribution of materials that are considered inflammatory and represent a threat to the public order. In 2000 the Government banned the publication and distribution of a book by a Muslim academic on the grounds that it was inflammatory. The book, titled "The Mwembechai Killings," described Muslim grievances against the Government and provided the author's version of events surrounding the killings of three Muslim protesters in 1998 in the Mwembechai area of Dar es Salaam. Unlike in the period covered by the previous report, urban Muslims did not distribute videotapes of the Mwembechai riots to document perceived human rights abuses; the Government previously had outlawed these videotapes for being incendiary.

PATAMU NI HAPA:
Image27.jpg

A unique style of preventing suspects from running away. The police have tied up together the shirts of two highly respected Muslim leaders, Sheikh Ali Ali (71) and Sheikh Omar Mayunga (51) because the police found several copies of the Qur'an in their car on 30 March, 1998.
.

The Government does not designate religion on any passports or records of vital statistics; however, it requires an individual's religion to be stated on police reports, school registration forms, and applications for medical care.

Hivi hii ni halali? maana inaweza kutumika kama religious profiling au mnasemaje?


Government policy forbids discrimination against any individual on the basis of religious beliefs or practices; however, individual government officials are alleged to favor persons who share the same religion in the conduct of business. The Muslim community claims to be disadvantaged in terms of its representation in the civil service, government, and parastatal institutions, in part because both colonial and early post-independence administrations refused to recognize the credentials of traditional Muslim schools. As a result, there is broad Muslim resentment of certain advantages that Christians are perceived to enjoy in employment and educational opportunities.


WAMAREKANI wanaendelea kusema hivi:



Muslim leaders have complained that the number of Muslim students invited to enroll in government-run schools still was not equal to the number of Christians. In turn Christians criticize what they perceive as lingering effects of undue favoritism accorded to Muslims in appointments, jobs, and scholarships by former President Ali Hassan Mwinyi, a Muslim. Christian leaders agree that the Muslim student population in institutions of higher learning is disproportionately low; however, they blame this condition on historical circumstances and low school attendance rates by Muslims rather than discrimination.



UTAMU ZAIDI uko hapa:
The Government failed to respond to growing tensions between the Muslim and Christian communities (see Section III).


The Government recognized that a problem exists, but it chose not to take action.


The Government cancelled several meetings with Muslim and Christian leaders aimed at improving relations between the two communities.



Even senior Muslim officials in the Government appear unwilling to address the problem, apart from general criticism of those who would foment religious conflict.


In 1999 President Mkapa met with leaders of the Muslim community at a Dar es Salaam mosque to listen to their grievances and propose solutions; however, urban Muslim leaders claim that no action has been taken to address their concerns.

WACHUKIENI TUU HAWA WAAMERIKA LAKINI UKWELI WANAUJUA.....



Abuses of Religious Freedom
In July 2001, a local magistrate in Morogoro sentenced Kahmis Rajab Dibagula to an 18-month jail term for blasphemy against Christianity for publicly stating "Yesu si Mungu" (Jesus is not God). In August 2001, police banned Muslim protests scheduled for August 23 in Dar es Salaam on public safety grounds. Despite the Inspector General's refusal to grant a permit for the rally, in August 2001, Muslim youths marched to the Attorney General's office while High Court Justice Chipeta heard the Dibagula case.


While Chipeta agreed to overturn the sentence and ordered the release of Dibagula, the High Court widely was criticized in the Muslim community for only overturning the conviction rather than stating that the blasphemy charge was unconstitutional and discriminatory towards Muslims. More than 170 Muslims were arrested, and cases remained pending against 41 persons, with no trial date set by the end of the period covered by this report.


Kana kama hiyo haitoshi STATE DEPT WANAENDELEA KUSEMA HIVI....


In December 2001, police on Zanzibar arrested more than 20 leaders of the Muslim Answar Sunna group for conducting Eid el Fitr prayers on a day other than the one designated by the Government of Zanzibar.


Na kuhusus MWEMBECHAI STATE DEPT WANAMWAGA UPUPU KWA KUSEMA HIVI:

On February 13, 2002, violence began after police intervened and fired tear gas at a Muslim prayer meeting to commemorate the 1998 Mwembechai mosque riots; two persons, including a police officer, were killed.


The organizers of the banned prayer meeting claimed the protest event had been peaceful until the police intervened; the police claimed that they used tear gas in order to disperse demonstrations and prevent a clash between rival Muslim groups.


The Government subsequently convinced Muslim groups to cancel a series of demonstrations planned for March 29, 2002, to protest the February events. Following the violence, the police arrested nine Muslim leaders, who remained in prison at the end of the period covered by this report; their hearing date was scheduled for August 2002. They were denied bail while a government investigation into the incident was ongoing. Other Muslim leaders went into hiding and were not caught by the end of the period covered by this report.



In 1999 police arrested Sheikh Issa Ponda, a popular Muslim leader, for inciting his followers against other religions. A week later, the police canceled a planned Muslim demonstration to protest his arrest. The Sheikh later was charged with seditious intent and released on bail; however, in February 2002, he was rearrested and charged with murder as one of the nine Muslim leaders held responsible for the Mwembechai mosque riots. Ponda was denied bail and remained in prison at the end of the period covered by this report.

Sasa kama Ponda alikuwa charged for Muder mbona leo yuko free au ?

anyway STATE DEP waliendelea kusema hivi...another interesting part....:

In 2000 a University of Dar es Salaam organization conducted a study of the possible role of religion in impeding the country's future development as a multiparty democracy. The organization, Research, Education and Democracy in Tanzania (REDET), which consists of a number of academics--Muslim and Christian--surveyed the public's views of religion as a potential societal faultline. The results of the study, which was not published by the end of the period covered by this report, were discussed publicly at a symposium held by REDET in December 2001.

The study concluded that Muslims as a group were underrepresented in educational, governmental, and private sector institutions.
The study was inconclusive on the cause of such underrepresentation; some scholars blamed outright discrimination by the Government and school administrators, while others blamed postcolonial historical circumstances, such as the legacy of Christian missionary control of private schools.

An interdenominational religious council periodically meets to discuss issues of mutual concern, such as the recent violence in Zanzibar. The council is comprised of Catholic, Protestant, and Muslim representatives.


State Dept walikuwa na haya ya kusema kuhusus BAKWATA:


The Muslim representative belongs to the BAKWATA; several urban Muslim leaders and a majority of urban Muslims believe that the BAKWATA is a government-imposed watchdog organization.

International Religious Freedom Report Home Page

ZAIDI INGIA HAPA:

http://www.state.gov/g/drl/rls/irf/2002/13859.htm
 
JF......be careful na watu wanaochezea mind za watu hapa......hawaitakii mema JF at the end of the day.............trust me........kuna watu wametumwa hapa.........!
 
JF......be careful na watu wanaochezea mind za watu hapa......hawaitakii mema JF at the end of the day.............trust me........kuna watu wametumwa hapa.........!

Well...hebu fafanua hapo juu mzeee

tukishamailiza hii tutaenda kuleta ripoti ya MAUAJI ya MERERANI na jinsi watawala walivyoreact hatuna haja ya kucelebrate positive tuuuu
 
WELL,nchi kuwa na deni au kutokuwa na deni,means nothing,if that status quo does not reflect on the standard of living of her people.sasa zanzibar kutokuwa na deni and yet wananchi dont see the fruits of such position is tantamount to zero.afadhali kuwa na deni,ambalo lina rub off kwa wananchi,in terms of a higher standard living

Mkuu Son Of Alaska,

Heshima mbele, I mean kuna wakati ninakumbuka sana Zanzibar wananchi walikuwa na maisha bora kuliko sisi bara, na kulikuwa biashara nyingi sana za raba za mtoni, sabuni, na hata nguo kutoka kule kuja bara,

Binafsi nilishiriki sana kwenye usafirishaji wa raba za aina ya Tiger, sijui kama unazikumbuka, zilikuwa ni kutoka Japan lakini zilikuwepo Zenji tu kwenye duka la Uwanja wao mpya wa Mpira Tartan,

Ninakumbuka wananchi wa zenji walikuwa wakiishi kwenye ma-flat safi sana kama sio bure ilikuwa kwa bei ya almost bure, I mean kuna wakati wananchi wa kule walikuwa na maisha bora zaidi kulinganisha na wengi huku Bara, kwa hiyo kutokudaiwa kwao as a government ilikuwa ni sawia na maisha bora ya wananchi wao, ingawa baadaye sijui exactly what happened!
 
JF......be careful na watu wanaochezea mind za watu hapa......hawaitakii mema JF at the end of the day.............trust me........kuna watu wametumwa hapa.........!

Kwenye hilo mkuu, tutawaomba Mods na Invisible watusaidie, I mean what else can we do, hatuwezi kuacha kuelimishana kwa sababu ambazo ni nje ya uwezo wetu as members, wakuu leteni picha na habari za historia tunaendelea!
 
Binafsi nilishiriki sana kwenye usafirishaji wa raba za aina ya Tiger, sijui kama unazikumbuka, zilikuwa ni kutoka Japan lakini zilikuwepo Zenji tu kwenye duka la Uwanja wao mpya wa Mpira Tartan,
😀

...Spot on Mkuu, enzi hizo 'shoppingi' duka la michezo pale shangani! hizo raba ni brand ya ASICS


attachment.php
 
FMES,

..hizo raba mtoni, sabuni, na nguo, zilikuwa zinatengenezwa nchi gani?

..kilichotokea kwa wenzetu wa Zanzibar ni kutengeneza taifa la consumers.

..SMZ hawakujitahidi kuwekeza fedha zao ktk viwanda na uzalishaji.

..hata mapato ya Karafuu yalipatikana kutokana na karafuu ghafi, badala ya processed.

..watu milioni moja wanashindwa vipi kutumia soko la Watanganyika milioni 30 kwa manufaa yao?

..Wakenya hawana Muungano wowote ule na Tanganyika, lakini wametugeuza kuwa soko la bidhaa zao. kwa nini Wazanzibari washindwe wakati wanadai walikuwa na mapesa kibao ktk hazina yao?

..kuna nchi kibao zinalilia kuwa ktk position ya Zanzibar, yaani kuwa na majirani waliolala ambao unaweza kuwa-exploit Kiuchumi.
 


..hilo la kusema zanzibar ilifilisika kwa kutoa pesa kwenye vita kagera si kweli..kwani hata kama walitoa pesa hazingetosha kuendesha vita hata wiki moja..ila hatupuuzi mchango wao kwenye vita..lakini sio sababu ya kukauka hazina yao....

...Vita vya Kagera mpaka leo hii 2008 kuna wanaothubutu kulalamikia kutokana na kuporomoka kwa uchumi wetu, ingawa Donors countries thinks otherwise

President Nyerere has in the past attributed much of his country's economic misfortune to outside factors. As an eloquent spokesman for what is called the third world, he has complained that adverse terms of trade, burgeoning oil prices and his war against the Ugandan dictator Idi Amin have strangled the economy. 'The Future Is Ominous'

Unpublished figures, compiled by Scandanavian and Western embassies, however, show a different picture. According to one such analysis, whose authors requested anonymity, the losses incurred by Tanzania because of falling agricultural output are more than double those created by high oil prices. Another analysis, noting that ''the future is ominous,'' said that, even if Tanzania received all of its oil free, there would still be a huge gap between imports and its exports of agricultural commodities, mainly coffee.

...na kuhusu 'uchumi wa Zanzibar',...

At the same time as the food gifts began arriving at Dar es Salaam, news of another import began to leak out, though not in the official Tanzanian press. The country's Vice President, Aboud Jumbe, who is the leader of Zanzibar, a part of Tanzania with control over its own economy, has ordered a $5 million executive jet to wing his way from the island to the mainland, a 10-minute flight.
 
STATE DEPARTMENT nao katika kumbu kumbu mwaka 2002 walisema hivi:
xpt_shim.gif





Kisha wakaendelea kusema hivi:

Image31.jpg


Section II. Status of Religious Freedom

Legal/Policy Framework

The Constitution provides for freedom of religion, and the Government generally respects this right in practice, subject to measures that it claims are necessary to ensure public order and safety; however, there were a few limits on this right............

HALAFU patamu ni [anasema hivi kwenye hiyo ripoti ya STATE DEPT...


xpt_shim.gif


Restrictions on Religious Freedom



PATAMU NI HAPA:
Image27.jpg

A unique style of preventing suspects from running away. The police have tied up together the shirts of two highly respected Muslim leaders, Sheikh Ali Ali (71) and Sheikh Omar Mayunga (51) because the police found several copies of the Qur’an in their car on 30 March, 1998.
.


Hivi hii ni halali? maana inaweza kutumika kama religious profiling au mnasemaje?




WAMAREKANI wanaendelea kusema hivi:







UTAMU ZAIDI uko hapa:


WACHUKIENI TUU HAWA WAAMERIKA LAKINI UKWELI WANAUJUA.....



Abuses of Religious Freedom



Kana kama hiyo haitoshi STATE DEPT WANAENDELEA KUSEMA HIVI....





Na kuhusus MWEMBECHAI STATE DEPT WANAMWAGA UPUPU KWA KUSEMA HIVI:



Sasa kama Ponda alikuwa charged for Muder mbona leo yuko free au ?

anyway STATE DEP waliendelea kusema hivi...another interesting part....:



State Dept walikuwa na haya ya kusema kuhusus BAKWATA:

International Religious Freedom Report Home Page

ZAIDI INGIA HAPA:

http://www.state.gov/g/drl/rls/irf/2002/13859.htm

Naheshimu kwa sababu kuna freedom of expression. Lakini huu ni ujinga, kama kuna mtu anaweza kupata data, anaweza kutukumbusha lawama na shutuma alizotoa Kitwana Kondo kwa Chuo Kikuu kuwa ali dico kwa sababu yeye ni muislamu lakini uzuri ni kuwa aliosahisha mitihani hawakujua jina lake na wala hawakuwa serikali na walikuwepo waislam, story kama hizi ni bollocks tu na media gibberish. Vizrui kama tukiendelea kufuatilia historia yetu na kuangalia imekuwaje viongozi wetu hao hao zamani walikuwa watu wa maana na sasa wamekuwa mafisadi, tuangalie ni kwa nini sasa hivi mzee Kingunge amekuwa hopeless kuliko zamani, kupitia kufuatilia historia yetu
 
1.
FMES,

..hizo raba mtoni, sabuni, na nguo, zilikuwa zinatengenezwa nchi gani?
..kilichotokea kwa wenzetu wa Zanzibar ni kutengeneza taifa la consumers.
..SMZ hawakujitahidi kuwekeza fedha zao ktk viwanda na uzalishaji.
..hata mapato ya Karafuu yalipatikana kutokana na karafuu ghafi, badala ya processed. ..watu milioni moja wanashindwa vipi kutumia soko la Watanganyika milioni 30 kwa manufaa yao?

Mkuu mara ya mwisho nilipokuwa Singapore, au kama kwa lugha ya meli tulivyokuwa tuikiiita "Singapura", wao walikuwa exactly what unachosema yaani a consumer's state, hawakuwa na viwanda wala mashamba makubwa, lakini walikuwa wafanya biashara, to the point unaweza kwenda duka la nguo ukaulizia trekta watakuambia subiri na watakutafutia,

Japan walikuwa wan-dump all their rejects pale, kwa hiyo wale wakwawa taifa la biashara tu na consumers na wamefanikiwa sana, sasa labda tatizo kwa zenji limekuja kua utawala, otherwise ninaamini kuwa at one time waow alikuwa on the right track, kuliko sisi bara.

2.
..Wakenya hawana Muungano wowote ule na Tanganyika, lakini wametugeuza kuwa soko la bidhaa zao. kwa nini Wazanzibari washindwe wakati wanadai walikuwa na mapesa kibao ktk hazina yao?..kuna nchi kibao zinalilia kuwa ktk position ya Zanzibar, yaani kuwa na majirani waliolala ambao unaweza kuwa-exploit Kiuchumi.

There you go, labda kuwemo kwa Zenji kwenye muungano ndio hasa tatizo la wao kushindwa kutu-exploit kibiashara kama unavyotaka, au?
 
Back
Top Bottom