Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

...ebwanaaaa eeehh! chini ya mkwaju mpaka alipokuja yule mwalimu 'mnoko' wa shule ya muhimbili, Mwl Ndossi ndipo ulipokatwa, kisa, Pius Makene alimpa kibano mpaka akaishia kuitafuta wrist watch yake ipo mavumbini!,.... duuuh, enzi hizo kuna yule mgiriki Brian, kijiwe cha kujifundishia magitaa ya kina kina Andy Swebe, kina Galinoma nk... safi sana!



...hapana mkuu, makaburi ya Tambaza ni huku nyuma, mfano wa barabara ya Maliki, kijiwe cha Harlem unapandishia juu unatokea mitaa ya Silver Oak, nk...

Hicho kijiwe unachosema wewe labda ni kile mbele ya Scout, ...yeah, kina "Jah Toto" na Vw Combi lao, ha ha ha...😀

Historia
Enzi hizo kuna mambo ya balozi wa nyumba kumi kila mtaa, balozi shurti awajue wageni wote wanaoingia mtaani/ hata kama ni wageni was iku mbili lazima ajulishwe! na bendera ilikuwa inapepea nyumbani kwake!

nimekupata mkuu. baadhi ya washkaji wa harlem nawafahamu sana

andy swebe si ndo yule alijiunga na king kiki vijana wakawa wanamwita
"ambassador" yaani mwakilishi wa vijana wa "upanga" kwenye muziki wa dansi.
sijui sasa yuko wapi. ndugu yake alikuwa anaitwa mpeli au?
galinoma bado yupo us pamoja na akina onesmo kibira wanaendeleza libeneke lol
duh unajua naweza kuwa nakufahamu kwani mitaa ya upanga nilikuwa nakatiza sana

brian mgiriki alisoma salvatorian sio. nasikia kaka yake tony (rip) alitangulia mbele za haki. dah ngoja nisiseme mengi manake naona vi-flashback vinakuja kwa kasi tu.
 
Wakubwa mimininaulizia baadhiya timu zetu za mitaani ambazo zilikuwa niwaka sana miaka hiyo napia zimetoa baadhiya wachezaji wazuri na taifa kwa ujumlamoja kwa moja niaelekea upande wa wilaya ya kinondoni wakati huo pale manzese kulikwa na timu kama vile SIFA utd Ambayo imetoa wachezaji wengi kama vile madaraka suleman,idd suleman kibode,hawa walikuwa simba kama sikosei pia abdallah waswa,hamis mbuzi ,hiitimu ilikuwa makaaziyake nipale tiptop [kwa alibay]au kwa yusuf mkimbizi
Pia kulikuwa timu za wababe kama vile faru hawa faru kwa hakika ilikuwa timu moja ya wahuni kiasi refarii lazima kwanza onyeshe kisu kwenye kiuno ndio awacheshe hawa jamaa sijui hii timu kama bado ipo
ninakumbuka sana enzi za chakacha la wakina faruku,
pia kuna mzee mmoja alikuwa maarufu sana ukanda wa kinondoni akiitwa mzee mwinyihija.
mwenye kujua chochote niwakuu mwageni katrika huu uwanja

haya mambo bongo yalikuwepo siku nyingi. niliwahi shuhudia faruku
akigombaniwa na wakware kwenye chakacha maeneo ya kijitonyama.
noma kweli.
 
...ndugu yake alikuwa anaitwa mpeli au?
galinoma bado yupo us pamoja na akina onesmo kibira wanaendeleza libeneke lol

...Swadakta, alikuwa anajiita Mpe-sly! LOL...


...kila jambo na wakati wake, Umri ulipoingia kila mmoja alichukua njia yake. Miaka mingi sana ishakatika sijasikia tena habari zao hawa waheshimiwa. Naamini kutawanyika kwa kina Makene/Tibenda family, pia kulichangiwa baada ya kufariki Profesa.
 
mchongoma,brian yuko jeshi,ugiriki.pius makene yuko dar galinomas,inno yuko states,akina mpeli wako dar,inasikitisha that baadi ya watu hapo ni wateja,thats life anyway
 
attachment.php


...flash back 1964 kuadhimisha muungano, for some reasons, picha hii inanikumbusha mauaji ya JFK...


Muziki Asilia;

attachment.php


...Hukwe Zawose was one of World Music's biggest stars. While signed to Peter Gabriel's Real World Records, Hukwe, together with his talented nephew Charles Zawose, toured Europe, America and Japan, spreading the music of the Wagogo people of Tanzania whose key instrument is the ilimba (thumb-piano) which Hukwe and his family built themselves. Hukwe's striking voice and his traditional stage costumes added to his rise to fame.

Hukwe's discovery was certainly a bit of a fairy-tale. In the 70s Tanzania's socialist President Nyerere was travelling through Hukwe's village. Hukwe, at the time a goat herder, was by the side of the road singing. Nyerere was so enchanted by what he heard, he asked Hukwe to become his official musician.

attachment.php

...Bila kuwasahau Mzee Mwinamila, Mzee Morris Nyunyusa,...
 
Last edited by a moderator:
Duh! yaani bongo enzi hizo tulishakuwa na magari ya namna hii, mbona ilikuwa mapema mno ndio maana tuko hapa tulipo nini? au tuliachiwa na wazungu tu?

Mkuu Mchongoma saafi sana, tupo wote hapo!
 
Duh! yaani bongo enzi hizo tulishakuwa na magari ya namna hii, mbona ilikuwa mapema mno ndio maana tuko hapa tulipo nini? au tuliachiwa na wazungu tu?

Mkuu Mchongoma saafi sana, tupo wote hapo!
FMES,
Hiyo gari ni 1963 Ford Galaxie. Tulipewa 2 zawadi ya uhuru na serikali ya Canada.
 
Kwenye muziki Asilia, kulikuwa na lile kundi dada la Sikinde, DDC Kibisa wakiwa na yule jamaa Nobert Chengula na mijoka yao. Mzee Mwinamila na sauti yake kali na Mzee Nyunyusa akipiga zile ngoma zake!

Ile intro ya taarifa ya habari hakuna tena mfano!
 
Kwa wale waliowahi kuishi Mwadui. Mnakumbuka timu ile ya soka ilivyokuwa ikizichachafya timu kubwa za Dar es Salaam? Baadhi ya wachezaji waliowahi kuvuma kwa nyakati tofauti ni:

Ibrahim Ismail, Iddi Mshangama, Bernad Madale, Mgongo, Mathias Salugole, Isinika, Joseph Mbelwa, Emmanuel Mwambete (RIP), Prosper Mboya, Chia Massonga, Elijah Kategile (RIP), Salu Sammy, James Ng'ong'a, David Mwakalebela, Edmund Mannongi, Uncle Shubet, Kamis Kamaka, Mathias Mataluma, Alfred Kategile, Yahaya Mwandambo, Michael Mngodo, Abdallah Shebe, Kessy Manangu, Justin Simfukwe, Willy Kiango, Zubeir Kaiwanga, na wemgine wengi...

Tujikumbushe baadhi ya picha za Mwadui.
2467d1221747709-tukumbuke-zamani-historia-ya-taifa-letu-katika-picha-mwadui1.jpg

2468d1221747709-tukumbuke-zamani-historia-ya-taifa-letu-katika-picha-mini-minor.jpg

2469d1221747709-tukumbuke-zamani-historia-ya-taifa-letu-katika-picha-training-school.jpg
2470d1221747709-tukumbuke-zamani-historia-ya-taifa-letu-katika-picha-williamson.jpg
 

Attachments

  • Mwadui1.jpg
    Mwadui1.jpg
    29.4 KB · Views: 264
  • mini minor.jpg
    mini minor.jpg
    51.7 KB · Views: 210
  • training school.jpg
    training school.jpg
    41.3 KB · Views: 216
  • williamson.jpg
    williamson.jpg
    35.5 KB · Views: 325
Kwa wale waliowahi kuishi Mwadui. Mnakumbuka timu ile ya soka ilivyokuwa ikizichachafya timu kubwa za Dar es Salaam? Baadhi ya wachezaji waliowahi kuvuma kwa nyakati tofauti ni:

Ibrahim Ismail, Iddi Mshangama, Bernad Madale, Mgongo, Mathias Salugole, Isinika, Joseph Mbelwa, Emmanuel Mwambete (RIP), Prosper Mboya, Chia Massonga, Elijah Kategile (RIP), Salu Sammy, James Ng'ong'a, David Mwakalebela, Edmund Mannongi, Uncle Shubet, Kamis Kamaka, Mathias Mataluma, Alfred Kategile, Yahaya Mwandambo, Michael Mngodo, Abdallah Shebe, Kessy Manangu, Justin Simfukwe, Willy Kiango, Zubeir Kaiwanga, na wemgine wengi...

Tujikumbushe baadhi ya picha za Mwadui.

Maganzo kimtindo, umenikumbusha ile mibuyu.
 
...ama kweli, 'Ujana ni moshi...!'

attachment.php


...Hassan Dalali enzi zake...

attachment.php


...(shoto) kwenye benchi la ufundi la 'mnyama mkali'!
 
mchongoma,ndipo kabisa,yaani hilo motorcade la nyerere na karume,ungeziba sura,mimi ningejua ni JFK akielekea kukutana na risasi ya lee harvey oswald
 
...ama kweli, 'Ujana ni moshi...!'
2472d1221750380-tukumbuke-zamani-historia-ya-taifa-letu-katika-picha-.jpg


kwenye benchi la ufundi la 'mnyama mkali'![/SIZE][/COLOR]
Kulia katika picha hii ni Omar Gumbo, aliwahi kuichezea Simba miaka ya Sabini na baade kuja kuwa Meneja TBL Dodoma katika miaka ya themanini
 
Last edited:
this song just came to my mind..

"Oh Selina piga moyo konde Oh Selina
Oh Selina utafanikiwa, Oh Selina"..!
 
Ngoja nitumie TANO bora zangu vizuri hapa.



(1) Kwa wapenzi wa Muziki, je mnakifahamu kikosi hiki ni akina nani na walikuwa akifanya nini katika picha hii na sasa hivi wako wapi?
attachment.php

(2)Kwa waliokuwa wapenzi wa Vijana Jazz; mnaweza kusema hawa ni akina nani na kwenye picha hii walikuwa wakifanya nini na sasa hivi wako wapi?

attachment.php
(3) Kwa waliokuwa wafuasi wa Marquiz na Double "O," je mnafahamu huyu dada ni nani na alikuwa akifanya nini kwenye picha hii, na sasa hivi yuko wapi?
attachment.php
(4) Kwa waliokuwa wafuasi wa kandanda, je mnamfahamu huyu mchezaji mwenye sharafa ni nani na kwenye picha hii alikuwa akifanya nini na sasa hivi yuko wapi
?
attachment.php
(5) Kwa waliokuwa wafuasi wa muziki tena, na mnakifahamu kikosi hiki kilikuwa kinajulikanaje na leo hii wapigaji wake wako wapi?
2474d1221765101-tukumbuke-zamani-historia-ya-taifa-letu-katika-picha-tanzanites.jpg

Ili kupata majibu ya maswali yenu, nipeni mji.
 

Attachments

  • KidawazirinaNanaNjige.jpg
    KidawazirinaNanaNjige.jpg
    68.6 KB · Views: 439
  • Tanzanites.jpg
    Tanzanites.jpg
    58.7 KB · Views: 205
  • Tabiamwanjelwa.jpg
    Tabiamwanjelwa.jpg
    42.8 KB · Views: 446
  • TanzaniaAllStars.jpg
    TanzaniaAllStars.jpg
    64.8 KB · Views: 450
  • Muchacho.jpg
    Muchacho.jpg
    29.3 KB · Views: 434
Ngoja nitumie TANO bora zangu vizuri hapa.



(1) Kwa wapenzi wa Muziki, je mnakifahamu kikosi hiki ni akina nani na walikuwa akifanya nini katika picha hii na sasa hivi wako wapi?
attachment.php

(2)Kwa waliokuwa wapenzi wa Vijana Jazz; mnaweza kusema hawa ni akina nani na kwenye picha hii walikuwa wakifanya nini na sasa hivi wako wapi?

attachment.php
(3) Kwa waliokuwa wafuasi wa Marquiz na Double "O," je mnafahamu huyu dada ni nani na alikuwa akifanya nini kwenye picha hii, na sasa hivi yuko wapi?
attachment.php
(4) Kwa waliokuwa wafuasi wa kandanda, je mnamfahamu huyu mchezaji mwenye sharafa ni nani na kwenye picha hii alikuwa akifanya nini na sasa hivi yuko wapi
?
attachment.php
(5) Kwa waliokuwa wafuasi wa muziki tena, na mnakifahamu kikosi hiki kilikuwa kinajulikanaje na leo hii wapigaji wake wako wapi?
attachment.php

Ili kupata majibu ya maswali yenu, nipeni mji.

Mbona majibu umeyaweka hapo chini!
 
wow!!!!

kumbukumbu safi sana,...! naruhusiwa kutoa majibu kwa kuigilizia mwalimu?... nimekuja na mlungula wangu huu .hapa chini..😀


katika picha zote imenifurahisha hiyo ya Tanzania All stars, kina Chongo, Jabali,...
 
Ngoja nitumie TANO bora zangu vizuri hapa.



(1) Kwa wapenzi wa Muziki, je mnakifahamu kikosi hiki ni akina nani na walikuwa akifanya nini katika picha hii na sasa hivi wako wapi?
attachment.php
.

Mwaka 1987, kampuni ya Film Tanzania iliwaunganisha wapigaji mziki maarufu kutoa wimbo kwa ajili ya kurekodiwa na kampuni hiyo. Kikosi hicho kilijulikana kama Tanzania All Stars. Waliopo pichani
kutoka kulia ni Muhidin Maalim Gurumo (aliyekuwa JUWATA-Msondo), Max Bushoke (aliyekuwa DDC Mlimani Park-Sikinde), Marijani Rajab (Jabari- aliyekuwa (Dar International, Super Bomboka), Melisa na Zahir Ally (waliokuwa JKT- Kimulimuli), Fresh Jumbe (aliyekuwa Dar International, Super Bomboka), Nana Njige (aliyekuwa Vijana Jazz- Pambamoto Awamu ya Pili), Mabruki (aliyekuwa Mwenge Jazz, Panselepa) na Hamisi (aliyekuwa JKT, Kimbunga). Aliyeko nyuma kulia DJ Seydou.
 
jamani,mnakumbuka,ile soo ya muheshimiwa DIRIA kusachiwa airport eti kwa tuhuma ya kubeba mzigo(cocaine) nadhani ilikuwa british airways.hii mnaionaje,hii si dharau kwa nchi,airport yetu wenyewe,wakamleta BA manager toka kenya kumsachi,ilibidi diplomatic passport ikae pembeni na mtu mzima akapigwa sachi-hii habari sent shockwaves hapa nchini.
 
Back
Top Bottom