Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

Mkuu FMES,
12 November 2008 ulibandika ujumbe huu,


Wakuu wote heshima mbele, naomba kusema kwamba sasa tumefikia mwisho wa hii thread, na mipango yote ya kuigeuza hii thread into a book imeshafikia 80% tayari, sasa tunasibiri estimate ya gharama za kukitengeneza kitabu chenyewe na kuwasiliana na wahusika wote muhimu, ikiwa ni pamoja na Mkulu Max.

Sasa leo baada ya huyu mzee kutuchezea akili umeamua kumleta kwa picha sijui ni ili tumuone umuhimu wake.

Kwa kweli nimeshindwa kuelewa kwa nini umeifungua hii thread tena kwa kubandika picha ya mtu ambaye tumeshamuona kuwa ni MNAFIKI.

Kama uliamua kuifunga hii thread, well and good, tusubiri kitabu, lakini kama unataka kuongeza picha, basi tuletee za watu tunaowaheshimu maana Malecela heshima yake kwetu imepungua sana.

I would rather see picha ya Chakubanga than of another selfish individual. Kama unabisha kuwa huyu hatumthamini tena, jaribu kura za maoni humu JF uone matokeo yake.



3392715596_3170f3a26c.jpg



- Haya wakuu kama tulivyoahidi jana, hii picha ni baada ya kusainiwa mkataba wa amani kati ya Tanzania na Uganda, mkataba ambao ulisimamiwa na the then Rais wa Somalia Maj. Gen Siad Barre, kati kati juu, na kusainiwa na mawaziri wa nje wa Uganda kushoto Bw. Kiwanuka na Waziri wa nje wa Tanzania DK. Malecela, kulia.

FMES!
 
Mkuu FMES,
12 November 2008 ulibandika ujumbe huu,




Sasa leo baada ya huyu mzee kutuchezea akili umeamua kumleta kwa picha sijui ni ili tumuone umuhimu wake.

Kwa kweli nimeshindwa kuelewa kwa nini umeifungua hii thread tena kwa kubandika picha ya mtu ambaye tumeshamuona kuwa ni MNAFIKI.

Kama uliamua kuifunga hii thread, well and good, tusubiri kitabu, lakini kama unataka kuongeza picha, basi tuletee za watu tunaowaheshimu maana Malecela heshima yake kwetu imepungua sana.

I would rather see picha ya Chakubanga than of another selfish individual. Kama unabisha kuwa huyu hatumthamini tena, jaribu kura za maoni humu JF uone matokeo yake.

- Mkuu hayo ni mawazo yako tu na hii ni demokrasia unasikilizwa na tunaendelea na kukata ishus, kama wewe humuheshimu kiongozi yoyote wa taifa letu ni wewe na unaowawakilisha tu, lakini haina maana shughuli zetu hapa JF zitasimama kwa sababu ya mawazo yako wewe mtu mmoja huo ni uselfish na ubainfsi wa hali ya juu sana kwamba wewe usipotaka something, basi taifa zima tukufuate wewe, hapana mkuu kama Malecela kwako ni less than Chakubanga good for you ila sisi wananchama wa CCM kwetu ni kiongozi na mzee wa kutusaidia busara tunapokuwa na matatizo ndani ya chama chetu kama sasa.

- Otherwise, nimekusikia mawazo yako na ndio demokrasia makini inavyotakiwa kuwa yaani kuheshimu mawazo ya wengine ambayo sio sawa na yako, lakini kumbuka kuwa Malecela pamoja unafiki wake hajagombea uwanja wa umeme Singida na Rostam, au kuwekeza kwenye kampuni ya Mwakyembe, vipi safari hii uliwekeza kwa Mwandosya nini kuwa rais?.

Ahsante Mkuu na Thread itaendelea kama kawaida maana tuna tani kibao za picha za siasa na wananchi maarufuu wa Tanzania. Bwa! ha! ha! ha! ha!

Wazee wa sauti ya umeme FMES!
 

- Labda ufafanue kidogo maana sijaelewa unachosema, unasema nini hasa mkuu?

FMES!

ninachosema ni kwamba kuna baadhi ya zimetoka kwenye
magazeti au sehemu nyingine (yaani aliyezibandika hapa
sio mpigaji wa hizo picha wala sio aliyetoa ajira kwa mpiga picha).
kwa hali hii picha hizo zikitumika bila ruhusa ya mwenye haki miliki
mtumiaji anaweza kushitikiwa/kushutumiwa kwa kukiuka haki miliki.

ni hilo tu mkuu.
 
Mkuu historia yetu ina hatimiliki?

mkuu haki miliki inaanzia pale historia inapowekwa katika
maadishi. sasa mwandishi anaweza ku-waive hiyo haki
miliki mfano natarajia kitabu kinachozungumziwa hapa
haki miliki itakuwa "waived" kwa sababu wachangiaji ni wengi.
aidha natarajia umakini utafanyika katika kutoa hiyo "waiver"
ili asije mtu mwingine akakifanyia biashara.

lakini haki miliki niliyokuwa nazungumzia ni kwenye picha
hususan zile ambazo wamiliki wake sio waliozitua hapa
ukumbini.

nia yangu hasa ni kuona kitabu kinatoka bila mtu hapo
baadae kuweka zengwe. kwa maneno mengine mchango wangu ni
angalizo tu.
 
He...😱 😱 kumbe nasubiriwa mimi....Mkulu FMES nimekunong'oneza, cheki PM...
 
- Mkuu hayo ni mawazo yako tu na hii ni demokrasia unasikilizwa na tunaendelea na kukata ishus, kama wewe humuheshimu kiongozi yoyote wa taifa letu ni wewe na unaowawakilisha tu, lakini haina maana shughuli zetu hapa JF zitasimama kwa sababu ya mawazo yako wewe mtu mmoja huo ni uselfish na ubainfsi wa hali ya juu sana kwamba wewe usipotaka something, basi taifa zima tukufuate wewe, hapana mkuu kama good for you ila sisi wananchama wa CCM kwetu ni kiongozi na mzee wa kutusaidia busara tunapokuwa na matatizo ndani ya chama chetu kama sasa.Wazee wa sauti ya umeme FMES!

Mkuu FMES,
Kila mtu anajua niandikayo ni mawazo yangu binafsi, kama yalivyo ya Mzee wetu Malecela juu ya nani akiwa raisi ataisaidia nchi. Kama mawazo yetu yatashabihiana na constituencies zozote ndani au nje ya CCM, JF n.k., tutajua hapo baadae lakini hatutaacha kuteta.

Mzee Malecela siku zote ni msikifu na ana humility at a personal level, ila sikumbuki ni lini ndani ya CCM busara zake zilisikilizwa?

Tunajua mkuu, kwako ishu yoyote inayomhusu Malecela and Mrs, wewe huachi kuipigia debe, na kwa hiyo hatushangai ulipotoka likizo kwa ajili hiyo. Lakini nafikiri imefikia wakati sasa either ukae kimya au ujichunguze wewe mwenyewe, maana Mzee wetu Malecela anachofanya hapa ni kuiuza nchi.

Maana hatuwezi kumpiga vijembe Lowasa, RA, n.k. halafu tukasema best wao JK aendelee ulingoni kuwapigia kifua. Huu utata utaupa mwenyewe jina ili usije ukasema nimekutukana.

Kwa hiyo unapoanza tena kumpamba Malecela kwa kuleta thread uliyokwishaifunga wewe mwenyewe unazidisha tu kinyaa ambacho tunacho na kilichotokana na maneno yake Mzee Malecela.
 
1.
Makaayamawe;

Mkuu FMES,

Kila mtu anajua niandikayo ni mawazo yangu binafsi, kama yalivyo ya Mzee wetu Malecela juu ya nani akiwa raisi ataisaidia nchi. Kama mawazo yetu yatashabihiana na constituencies zozote ndani au nje ya CCM, JF n.k., tutajua hapo baadae lakini hatutaacha kuteta.

- Hapa tupo pamoja sana mkuu kwamba finally unaongea demokrasia kwamba ni haki ya Malecela, wewe na mimi kuwa na mitizamo tofauti kuhusu nani anatufaa kua rais, saafi sana, bila matusi wala kejeli.

2.
Mzee Malecela siku zote ni msikifu na ana humility at a personal level, ila sikumbuki ni lini ndani ya CCM busara zake zilisikilizwa?

- Eti the less of Chakubanga, aliwahi kuwa na usikivu pamoja na humility at a personal level? Halafu eti busara za Malecela hakuna anayezisikiliza ndani ya CCM wala taifa, sasa mbona unazililia sana busara ambazo hazina maana yoyote kwako wala kwa CCM? Yaaani kweli kilio chako chote humu JF ni kwa sababu ya busara ambazo haziwezi kusikilizwa na CCM au taifa letu?

3.
Tunajua mkuu, kwako ishu yoyote inayomhusu Malecela and Mrs, wewe huachi kuipigia debe, na kwa hiyo hatushangai ulipotoka likizo kwa ajili hiyo.

- Kuondoka na kurudi ndani ya hii forums, sio kuvunja sheria kwa hiyo nakuomba ukubali kwamba katika demokrasia siku zote tupo watu kama mimi ambao ni zig zag tunaweza kuwepo kutoka kurudi, no sweat kabisa kama ni kurudi nimeruid kabla hata Malecela hajazungumza, na besides nina tabia moja ya kusimamia viongozi ninaowamini kuwa waadilifu regardless ya who they are, Malecela na Mkewe ninaamini ni wamoja wao sasa please tulumbane kwa hoja kwenye uadilifu wao.

4.
Lakini nafikiri imefikia wakati sasa either ukae kimya au ujichunguze wewe mwenyewe,

- Kwa sababu sikubaliani na mawazo yako kwamba Malecela is less than Chakubanga, basi nikae kimya na nijichunguze, well that is incredible thinking. Wewe unanipa amri nikae kimya ndio spirit ya JF hii kwamba mawazo yako mkuu ni lazima yakubaliwe na wengine ama sivyo wake kimyaa na wajichunguze maana wana kasoro wanawezaje kukataa mawazo yako? I s that so? Bwa! ha! ha!.........Hillarious...!

5.
maana Mzee wetu Malecela anachofanya hapa ni kuiuza nchi.

- The man is less than Chakubanga, halafu mnafiki, busara zake hazisikilizwi ndani ya CCM wala taifa, amepitwa na wakati, akili yake imechoka inahitaji surgery, lakini at the same time press conference yake ina nguvu ya kuuza nchi yetu, well chagua moja mkuu what do you want!

6.
Maana hatuwezi kumpiga vijembe Lowasa, RA, n.k. halafu tukasema best wao JK aendelee ulingoni kuwapigia kifua. Huu utata utaupa mwenyewe jina ili usije ukasema nimekutukana.

- Hatuwezi kuwapiga vijembe, wewe na nani? Na hii power mkuu umeipata wapi ya kuamrisha members wengine humu JF wakubali mawazo yako tu? Huu wako ni lini uliwahi kuwa msimamo wa JF collectivelly? Ukinitukana unajitukana mwenyewe na hasa unanichana mbavu sana unapozungumzia unafiki, yaani yani kumbe hajioni his behind? Bwa! ha! ha!

7.
Kwa hiyo unapoanza tena kumpamba Malecela kwa kuleta thread uliyokwishaifunga wewe mwenyewe unazidisha tu kinyaa ambacho tunacho na kilichotokana na maneno yake Mzee Malecela.

- Mkuu inaonekana una nguvu sana hapa JF, yaani una power mpaka ya kutaka thread isiendelezwe, duh1 kweli nimekukubali yaani una power kiasi hiki, unawawakilisha wananchi wenye kinyaa na maneno ya Malecela ambayo hayasikilizwi na CCM wala taifa, samahani sana mkuu kwa kukukwaza na msimamo wangu kuhusu kinyaa chako na maneno ya Malecela.Ninakuomba sana unisamahe kwa kukukwaza mkuu, niko chini ya miguu yako, mbelile mkuu
na ninaahidi kwamba in the future sitarudia kukataa mawazo, na pia naomba mawazo yako yadumu daima milele na milele.

Anyways kesho nitaendelea na kuweka picha kama kawa, pole sana mkuu, au?

Wazee wa sauti ya umeme FMES!
 
nia yangu hasa ni kuona kitabu kinatoka bila mtu hapo
baadae kuweka zengwe. kwa maneno mengine mchango wangu ni
angalizo tu
.

- Mkuu nimekusikia sana, hakuna yeyote mwenye nia ya kuuza hicho kitabu, na hatujawahi kusema hivyo kwamba tutakiuza, hapana kwa hiyo mkuu usiwe na wasi wasi na hilo la kwamba kuna anyesubiri kuuza, kwa sababu hakuna! tunakusudia kusaidia kulemisha taifa kwa kuvigawa bureee!

Respect!


FMES!
 
I would rather see picha ya Chakubanga than of another selfish individual. Kama unabisha kuwa huyu hatumthamini tena, jaribu kura za maoni humu JF uone matokeo yake.

Hii kali, hata kama mtu unamchukia kiitikadi hutakiwi kufika huko.
 
Hii kali, hata kama mtu unamchukia kiitikadi hutakiwi kufika huko.

- Mkuu kesho tutaendelea na picha kama kawa na tutaanza na the less of Chakubanga, DK. Malecela, my be it will take maneno ya the less of Chakubanga kusaidia kukombolewa kwa taifa letu, kwa sababu wananchi watakuwa na so much kinyaa cha maneno ya the less of Chakubanga, na kuwafanya wasipigie kura CCM.

- Isipokuwa now tunaelewa ni kwa nini Mzee amejitokeza, na kwakujitokeza kwake sasa tunajua nani wameathirika, maana hizi kelele na matusi sio za bure, especially coming from Mkulu Makaayamawe, I love JF!

- Nenda kwenye ishu za kushambuliwa kwa Mwakyembe, ukaone mkulu alivyokuwa akijitosa kumtetea, halafu kaone pia alivyomshambulia Zitto na ununuzi wa Dowans, halafu angalia chaguo lake la wagombea urais, yaani Mwakyembe na Mwandosya, akaongeza na Mengi maana hapa JF anakubalika sana, halafu kaangalie majina ya wawekezaji wa kampuni ya Mwakyembe, ndipo utajua haya matusi ni ya nini!.

Respect!

FMES!
 
- Mkuu nimekusikia sana, hakuna yeyote mwenye nia ya kuuza hicho kitabu, na hatujawahi kusema hivyo kwamba tutakiuza, hapana kwa hiyo mkuu usiwe na wasi wasi na hilo la kwamba kuna anyesubiri kuuza, kwa sababu hakuna! tunakusudia kusaidia kulemisha taifa kwa kuvigawa bureee!

Respect!


FMES!

nimekusikia mkuu na mbarikiwe sana.
 
- Wakuu wote vipi wakuu, kuanzia kesho tunataka kuanza tena kuweka picha hapa za siasa na wanasiasa wetu, wadogo kwa wakubwa na wananchi wengine waliowahi kuwa maarufu katika taifa letu kwa nyakati mbali mbali za historia ya taifa letu, na hata matukio muhimu yaliyowahi kutokea katika taifa letu,

- Wakulu wangu Invisible, Son Of Alaska, Kichuguu, Mchongoma, Icadon, GT, Kibunango, Mwanakijiji, Steve D, Ngw'aninyami, Mkulu Mwenyewe Masa, na wengineo wote tafadhali leteni vitu hapa tuburudike na elimu ndani yake, maana sasa kazi picha picha wakuu.

Field Marshall Es.

...mchongoma uli 'mutate' kugeuka mbu... 'mwanzo mchongoma unakuchoma, damu inapotea bure', ...sasa 'ganzi kwanza, unanyonywa damu, na malaria juu!' ...Tupo pamoja mkuu...

...washkaji hawa tangia zamani, basi tu...Mw'Mungu awarehemu huko walipo!
 
.........jamani mnamuongelea mwakitwange aliyekuwa amepanga nyumba namba 8....tandamti [mission kota]..brazameni koko.....,Hivi bado yupo na yule mwanamke wake mweupe aliyekuwa ATC....??

NASIKIA ile nyumba aliyokuwa anajifanya yake[kumbe amepanga]..imeuzwa na amehamia ukweni???

Ndugu yangu mbona unatoa matusi na kashfa bila kujua ukweli kamili kuhusu huyu mtu?. Nini maana ya brazameni koko?. Ni vyema kufikiri kabla hujaandika kitu.Na hukijui ama huna uhakika nacho basi kaa kimya.
 
Rip mwalimu. Your presence is surely being missed & your absence is surely visible.
 
watu wa Tanga lazima mtakuwa mnakikumbuka kikundi hichi hawa ndio waliotuharibia TAARAB yetu ya ASLI maana hawa ndio walioanza na MAMBO YA MIPASHO kabla ya hawa wajinga wa siku hizi akina TOT,MELODY na wengineo wanaopiga TAARAB utafikiri mayenu...saa zingine huwa najiuliza JALUO au MNYAKYUSA na kuimba taarab wapi na wapi?

BlackStar-LuckyStar.jpg



nadhani watu wa zamani mtakumbuka kikundi hiki cha miaka ya 70 na mwanzoni mwa 80 na moja kati ya nyimbo za kipigana vijembe dhidi ya Lucky Star toka kwa Black Star ilikuwa inaitwa MNAZI MKINDA na ilitungwa na KIBWANA SAID na kuimbwa na SHARMILA...ahhhhh we acha tuu then SHAKILA wa LUCKY STAR walijibu na nyimbo iliyokuwa inaitwa KITUMBIRI ....

LuckyStar.jpg

naam hawa ndio LUCY STAR wenyewe
 
Back
Top Bottom