Vicks kingo.mpaka leo ipogo ila ile vix ya kupaka ndo huwa siion siku hizi
AsproChloroquine dawa ya malaria
CafenolChloroquine dawa ya malaria
Ipo tele.MMMh...cna uhakika sana kama ipo..................
TetasaklinRANGI MBILI
jina la kitaalamu sijui
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kuna dawa moja ya majani ilikuwa inatwangwa then inawekewa tumaji kidogo halafu wanakumiminia puani na kijiko
Sikilizia sasa chafya zake lazima upone unachoumwa
Kwetu ilikuwa dawa ya FunzaMamis mafuta ya kupaka mwili
Ugoro nn huo[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Umenikumbusha mbali sana.
Nilikuwavumilivu wa sindano ila hii mama aliappreciate maumivu nilio kuwa na pata maana kipindi hicho sindano za kawaida nilkkuw najngia mwenyewe kwenye chumba cha sindano unaona watu wazima wanachonea sindano za kawaida wanalalama lakini mimi nilikuw na dunda hadi ma nezi wananisifia ila kwa kristapeni sikuwahi kuwa gangwe kunasikua mama alilia na mimi but ithink u understand the real situationAisee, hii sindano nilihisi mateso kwa muda. Nilitembea nachechemea kama mguu mmoja mrefu mmoja mfupi.
Nilikuwavumilivu wa sindano ila hii mama aliappreciate maumivu nilio kuwa na pata maana kipindi hicho sindano za kawaida nilkkuw najngia mwenyewe kwenye chumba cha sindano unaona watu wazima wanachonea sindano za kawaida wanalalama lakini mimi nilikuw na dunda hadi ma nezi wananisifia ila kwa kristapeni sikuwahi kuwa gangwe kunasikua mama alilia na mimi but ithink u understand the real situation
Dah..nimemkumbuka mwalimu wangu wa chekechea...ππππ[emoji38] inatuliza homa kali pamoja na flu mara moja.. nilikuwa nakapenda kawimbo ila dawa sasa....!
Dah...rekebisha basi nyotanyota hizoππShubiri uso hukujana kama ***** kutu mgando.π