Tukumbushane dawa za zamani, naanza na chloroquine

Tukumbushane dawa za zamani, naanza na chloroquine

CHLORO250MG.jpg
Machunguuuu!! Hovyo kabsa, unalazimishwa meza!!meza!! Na ukitema tu utaona kipondo chake, au unayameza yanakwama kooni na maji tayari yashaisha kwenye kikombe,!![emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Dah...hizi dawa kabla hata hujameza (kile kiharufu tu) unapata kichefuchefu! Na baada ya siku mbili unaaza kuwashwa🙁🙁

BTW, nimekumbuka pia zamani dispensary nyingi (hasa vijijini) hawakuwa na kipimo cha malaria (walikuwa hawapimi damu kama sasa). Nakumbuka sanasana walikuwa wanapima joto tu!
Mlemle mkuu, dokta anakuwekea kidude kifuani, hapo unasali maake uamzi ukitoka unatakiwa masindano jasho jembamba linakutoka huku nesi/ dokta ana tikisa kichupa na sindano iko mezani!! Daaaaahhh
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Machunguuuu!! Hovyo kabsa, unalazimishwa meza!!meza!! Na ukitema tu utaona kipondo chake, au unayameza yanakwama kooni na maji tayari yashaisha kwenye kikombe,!![emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Machunguuuu!! Hovyo kabsa, unalazimishwa meza!!meza!! Na ukitema tu utaona kipondo chake, au unayameza yanakwama kooni na maji tayari yashaisha kwenye kikombe,!![emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Haya madawa yalitushinda wengi
 
Back
Top Bottom