Tukumbushane dawa za zamani, naanza na chloroquine

Machunguuuu!! Hovyo kabsa, unalazimishwa meza!!meza!! Na ukitema tu utaona kipondo chake, au unayameza yanakwama kooni na maji tayari yashaisha kwenye kikombe,!![emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Mlemle mkuu, dokta anakuwekea kidude kifuani, hapo unasali maake uamzi ukitoka unatakiwa masindano jasho jembamba linakutoka huku nesi/ dokta ana tikisa kichupa na sindano iko mezani!! Daaaaahhh
 
Reactions: SMU
Machunguuuu!! Hovyo kabsa, unalazimishwa meza!!meza!! Na ukitema tu utaona kipondo chake, au unayameza yanakwama kooni na maji tayari yashaisha kwenye kikombe,!![emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Machunguuuu!! Hovyo kabsa, unalazimishwa meza!!meza!! Na ukitema tu utaona kipondo chake, au unayameza yanakwama kooni na maji tayari yashaisha kwenye kikombe,!![emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Haya madawa yalitushinda wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…