romantic doctor
Member
- Dec 20, 2017
- 25
- 24
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nakumbuka siku ya kwanza "nenda kamwambie" inatambulishwa Kama ngoma mpya mida ya jioni......siku hyo brother angu alinambia "huyu msanii anaimba vzuri Sana atafika mbali"" mi nikaona Kama ananipigia kelele Tu hata sikumjibu kitu.
Mimi mwenyewe sikuwa naona kama mkali tena nilikuwa namuona msanii wa msimu tu ila belle nilikuwa naona atafanikiwa sanaNakumbuka siku ya kwanza "nenda kamwambie" inatambulishwa Kama ngoma mpya mida ya jioni......siku hyo brother angu alinambia "huyu msanii anaimba vzuri Sana atafika mbali"" mi nikaona Kama ananipigia kelele Tu hata sikumjibu kitu.
Ndio wakome kutegemea media house moja tuDiamond ajaanza na belle 9 .
Mondi alikuwa na pacha wake anaitwa shetta sasa ndo ujiulize kwann Mondi kampiga gepu shetta ?
Belle 9 so talented boy bt mfumo wa watu wa ghorofani pale mlalakua ulimu underrate Sana . Jiulize yule demu Ruby yupo wapi ? Clouds imewapotezea wengi sana future.
Ana account InstaTTHread bomba ya mwaka kutoka jukwaa la ubuyu...
hv ni mafanikio gani aliyonayo Belle o9k?
Ana account Insta
Maksai wanne ambao hua anakodisha kwa wakulima msimu wa kilimo ukifika
Baiskeli 3 za abiria ziko ruti ya Kwamakunganya-Dakawa
Water pump moja ya Honda ndogo kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji
Tv ya singsung 24", deki ya ZEC na bufa ya Sea Piano
Mamsumeno mawili yale makubwa ya kupasulia mbao ambayo gogo linawekwa juu ya shimo then baharia mmoja anakua juu na mwingine ndani ya shimo
Kibanda umiza cha movie za Dj Afro eneo la Bigwa
Ananunua tairi used kwa ajili ya kiwanda chake cha malapa ya tairi.
Kila jumamosi anapiga shoo baa fulani mixer bia na pombe za kienyeji wanazungushia turubai then kiingilio inakuwa buku kwa wanaume ladies free.
Jamaa ana mafanikio kwa pale Moro anashika shika namba ya wenye nazo