Ana account Insta
Maksai wanne ambao hua anakodisha kwa wakulima msimu wa kilimo ukifika
Baiskeli 3 za abiria ziko ruti ya Kwamakunganya-Dakawa
Water pump moja ya Honda ndogo kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji
Tv ya singsung 24", deki ya ZEC na bufa ya Sea Piano
Mamsumeno mawili yale makubwa ya kupasulia mbao ambayo gogo linawekwa juu ya shimo then baharia mmoja anakua juu na mwingine ndani ya shimo
Kibanda umiza cha movie za Dj Afro eneo la Bigwa
Ananunua tairi used kwa ajili ya kiwanda chake cha malapa ya tairi.
Kila jumamosi anapiga shoo baa fulani mixer bia na pombe za kienyeji wanazungushia turubai then kiingilio inakuwa buku kwa wanaume ladies free.
Jamaa ana mafanikio kwa pale Moro anashika shika namba ya wenye nazo