- Thread starter
- #81
Kuna hili la vijana toka zamani sana MKUUChuna buzi
Kula kuku, kula bata
Usilete LOMONI / hatutaki LOMONI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna hili la vijana toka zamani sana MKUUChuna buzi
Kula kuku, kula bata
Usilete LOMONI / hatutaki LOMONI
Awamu ya nne uchakachuzi ilitumika sanaChakachua.....watajiju......mambo kwayesu....kutesa kwazamu....120.....unaringa umepima....Tigo
Je sasa lakii Si ela??Laki si pesa
Kutesa kwa zamu
inategemea na kipato cha mtu.Je sasa lakii Si ela??
Kwa kweli wewe ni mtumiaji mzuri wa mtandaohakatwi mtu hapa
jaza ujazwe
Mr beneficial founderWajuba/Mjuba
Uduanzi
Tutalalanao mbele.
Habarini wana Jamii Forums Leo nimekuja na hoja kama ilivyo apo kwenye title.
Tunajua Tanzania kuna misemo mingi ilishawahi kutokea na hivi sasa kuna misemo ndio Inavuma 'WAJUMBE na USINIFOKEE'.
Toa msemo wako unaoukumbuka ulio wahi kutrend apa nchini