Habarini wana Jamii Forums Leo nimekuja na hoja kama ilivyo apo kwenye title.
Tunajua Tanzania kuna misemo mingi ilishawahi kutokea na hivi sasa kuna misemo ndio Inavuma 'WAJUMBE na USINIFOKEE'.
Toa msemo wako unaoukumbuka ulio wahi kutrend apa nchini
Tunajua Tanzania kuna misemo mingi ilishawahi kutokea na hivi sasa kuna misemo ndio Inavuma 'WAJUMBE na USINIFOKEE'.
Toa msemo wako unaoukumbuka ulio wahi kutrend apa nchini