Mimi nilikuwa timu moja ilikuwa inaitwa Super star winga ya kulia, nilikuwa na jamaa mmoja alikuwa anaitwa Tiba baadaye akaenda ujenzi Rukwa kwa sasa sijui yupo wapi
Nilikua natoke sinde ya magereza kipindi hicho pia nilikua shabiki mkubwa wa forest nakumbuka midle alikua akicheza abou kasanga yupo wapi mtu huyu na wote wliomaliza muungano pre school 1993