Ukiwa nazo hizi unaonekana mwanaumeBlack berry curve 1 ,curve 2,black berry 9900
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Acha urooongoHazipo sokoni kivipi smartfone nyingi sana hata zile za mwanzoni zipo sokoni ila hizi "feature" phone ndio nyingi zimepotea sokoni.
Kumbuka smartfone nyingi kwa soko la Tanzania zimeanza kuanzia miaka ya 2010-hivi.
Kwamfano kati ya hizo ulizozitaja Tecno H5,H6 na H7 ukienda TigoShop unazikuta
Nenda TigoShop yoyote ulizia kumbuka hzo H5 na H6 zilikuja na promosheni ya Tigo yaani ukinunua simu unapewa na midakika,SMS,Mb za kutumia miezi sita bure ikiwa utaweka salio la elfu kumi kila mwezi
Upo mkoa gani mkuu?Nenda TigoShop yoyote ulizia kumbuka hzo H5 na H6 zilikuja na promosheni ya Tigo yaani ukinunua simu unapewa na midakika,SMS,Mb za kutumia miezi sita bure ikiwa utaweka salio la elfu kumi kila mwezi