Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili muhimuDon't drink and drive 🚫
😆😆😆😆Usitoke wikend tumia muda nyumbani
Kila siku za wiki (Ki,ki) ,kimikimikiki [emoji445].Kwa haraka haraka niwakumbushe mawili tu
1. Kuna jela - Maamuzi na matumizi sahihi ni muhimu sana
2.Tu enjoy kidogo hasa tukijifariji " why should we die with health liver and lungs ?"
Ni haya tu kwangu
Jela na weekend inahusiana vipiKwa haraka haraka niwakumbushe mawili tu
1. Kuna jela - Maamuzi na matumizi sahihi ni muhimu sana
2.Tu enjoy kidogo hasa tukijifariji " why should we die with health liver and lungs ?"
Ni haya tu kwangu
Let me join you.Nampango wakuanza ratiba za kunywa pombe na kuzurura kutofanya nisiwe nakaa home na mie sio mke wa yeyote ndani ya nini??
Huyu anafikiri kuwa na hela halafu utulie ni jambo rahisi?Nashaurika basiii?
Khaa !kwa hiyo lazima ulalane weekend hadi uvae kinga huwezi tu kula na kuenjoy lazima uende na mtu home ukalalane dah ndio mana hamna nguvi za kiumeUsisahau kutumia mpira
Unajua niko mkoa gani??Let me join you.
Kuna mkoa haufikiki nchi hii?Unajua niko mkoa gani??
Fanya mpango uolewe, ww sio shetani kwamba wanaume hawakutakiNampango wakuanza ratiba za kunywa pombe na kuzurura kutofanya nisiwe nakaa home na mie sio mke wa yeyote ndani ya nini??
Ni kama unamwambia mtu apige lakini asikojoe 😩😩Kunywa lakini usilewe drink responsible kwa Sasa Ni hayo tu......