DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hawanitaki ndioo nakula raha kwa kwenda mbele mie humu nimeitwa geresa mtu ambai hafai kwa wanadamy wa jfFanya mpango uolewe, ww sio shetani kwamba wanaume hawakutaki
Dah pole sana mamaa, wako yupo njiani anakuja kwa ajili yakoHawanitaki ndioo nakula raha kwa kwenda mbele mie humu nimeitwa geresa mtu ambai hafai kwa wanadamy wa jf
Atakuja tu tena sio haba kajaaDah pole sana mamaa, wako yupo njiani anakuja kwa ajili yako
Starehe na jinai vina ukaribu sanaJela na weekend inahusiana vipi
Bado uko single ?Hawanitaki ndioo nakula raha kwa kwenda mbele mie humu nimeitwa geresa mtu ambai hafai kwa wanadamy wa jf
EhBado uko single ?
Nyongeza,Kwa haraka haraka niwakumbushe mawili tu
1. Kuna jela - Maamuzi na matumizi sahihi ni muhimu sana
2.Tu enjoy kidogo hasa tukijifariji " why should we die with health liver and lungs ?"
Ni haya tu kwangu
Mie kesho naenda bar kunywa vileviNyongeza,
1. usiende home/geto kes boyfriend au girlfriend wako bila miadi eti kisa ni weekend
2. Akikuaga kuwa anaenda kutembelea ndugu na akifika anakimbilia kusema simu haina chaji, basi hapo achana nae
3. Usijifunze pombe weekend ili mchuchu akuelewe
4. Ikumbuke siku ya BWANA na kuitakasa
5. Tembelea sehemu ambazo zitakupa changamoto mpya za utafutaji sio ambazo zitakulemaza
Kwa sasa ni hayo tu
twende wote please, nitalipa ila sitakunywa sanaMie kesho naenda bar kunywa vilevi
wee kichaa nini?🤣🤣🤣🤣🤣Mie kesho naenda bar kunywa vilevi
Ndio siku za kulalana hizi.Khaa !kwa hiyo lazima ulalane weekend hadi uvae kinga huwezi tu kula na kuenjoy lazima uende na mtu home ukalalane dah ndio mana hamna nguvi za kiume
Acha ngono zembe ni mbaya kwa afyaNdio siku za kulalana hizi.
Mimi sitaki mazoea nawewewee kichaa nini?🤣🤣🤣🤣🤣
Tumia condomKwa haraka haraka niwakumbushe mawili tu
1. Kuna jela - Maamuzi na matumizi sahihi ni muhimu sana
2.Tu enjoy kidogo hasa tukijifariji " why should we die with health liver and lungs ?"
Ni haya tu kwangu
Ok vizuri
Weka namba yakuzagamuana tuWikend ikifika jumamosi jioni zima simu nenda kanywe bia utawasha jumatatu asubuhi maana Kuna mabosi wasumbufu sana! Watakuharibia starehe zako bure
Ngono zembe ni tamu. Ndio maana nimesisitiza mpira utumike hahaaAcha ngono zembe ni mbaya kwa afya