Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,367
Kuna uzi wa jamaa mmoja wa alikuwa anajihita shy one huyu jamaa bhana alinifurahishagha na story yake mmoja hivi kuwa alipofika Dar akaamua atafute sehemu ya kujiliwaza kwa maana ya madada poa.
Bhana akaenda akakutana na katoto flani kanaonekana kabichi kumbe mkongwe wa shughuli wakakubalina ile wameingia ndani tu wameanza shughuli.
Mara yule sister duu akapigiwa simu na mama yake yule sister duu akamtadhalisha jamaa ngosha kuwa asimpumulie ukiwa kwa juu yake Cha kushangaza kwa yule sister duu kuwa tangu amelianzisha mechi yule sister duu haguni wala Nini Yuko bize na simu ya mama yake.
Lete link na story ilikufurahisha na kukuvutia miaka hiyo 2018 na 2019.
Bhana akaenda akakutana na katoto flani kanaonekana kabichi kumbe mkongwe wa shughuli wakakubalina ile wameingia ndani tu wameanza shughuli.
Mara yule sister duu akapigiwa simu na mama yake yule sister duu akamtadhalisha jamaa ngosha kuwa asimpumulie ukiwa kwa juu yake Cha kushangaza kwa yule sister duu kuwa tangu amelianzisha mechi yule sister duu haguni wala Nini Yuko bize na simu ya mama yake.
Lete link na story ilikufurahisha na kukuvutia miaka hiyo 2018 na 2019.