Hahahaha[emoji23]Alisha kabiziwa vikoba huko kwao ndio maana hata uzi wake tu mzito bas mwenzio kabla ya kuufungua huwa naomba kwanza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji3064][emoji15]Unafikiri mi namuelewaga basi!, Yaani amekaa kama mgangamganga hivi!!
Karibu mkuu, imebainika kuwa mada zako zinaonekana usiku wa manane, mchana zinapotea.[emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji3064][emoji15]
Hahahaha[emoji23] labda kwa vile mchana kuna mwangaKaribu mkuu, imebainika kuwa mada zako zinaonekana usiku wa manane, mchana zinapotea.
Hakuna binadamu asiyelala. Tofauti ni kwamba tunaishi kwenye time zones tofauti na mataifa tofauti. Usitegemee walioko Australia ua Amerika wawe sawa nawe uliyeko Afrika Mashariki ambapo ukiwa umelela wao ndo kumekucha and vice versa. Hivyo, hakuna mijitu wala watu wasiolala humu jf. Ni suala la uelewa.
Mwanga tena? Inasemekana huwa unazifanyia miujiza, kuna dada humu jana alisema akiona topiki yako lazima apige maombi kwanza ndipo aisome.Hahahaha[emoji23] labda kwa vile mchana kuna mwanga
[emoji15][emoji2]Mwanga huficha giza na giza huficha mwangaMwanga tena? Inasemekana huwa unazifanyia miujiza, kuna dada humu jana alisema akiona topiki yako lazima apige maombi kwanza ndipo aisome.
Hahahaha[emoji23]Huwa anajiandaa kwenda kuwanga au amerudi kutoka kuwanga. [emoji23][emoji23][emoji23]
Huo mbinuko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732] mseleleko
nasikia mchana unakuwa huna MbHahahaha[emoji23]
Hahahaha[emoji23] penginenasikia mchana unakuwa huna Mb
πππππππππππππππ nicely put and well said cheers mwanangu. SaluteππΎππΎππΎππΎππΎππΎππΎππΎππ½
Uwe na adabu. Wewe si wa kuniita mimi sabaya. Je nikisema sabaya ni babako utajisikiaje?Sawa sabaya..
ujaelewa ndo nini au unamaanisha hujaelewa?Uja
Bado ujaelewa
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Huyu jamaa BAK mpenda CHADEMA kuliko nafsi yake huwa HALALI USIKU WA MANANE.....