Tukumbushane Mila na Desturi za Kiafrika zilizopitwa na wakati

Tukumbushane Mila na Desturi za Kiafrika zilizopitwa na wakati

Waafrika tushatawaliwa kifikra hadfi mila zetu tunaziona zimepitwa na wakati..what a waste!
kuna mila kweli ni kandamizi,mfano,kurithi wajane,ndoa za utotoni,fgm,kupiga wanawake,mahali,nk hivyo lazima tuzipinge,lakini hao watu weupe wana tamaduni zao si nzuri kwetu nazo lazima tuzipge vita ushoga,kubadili jinsia,ndoa za jinsia moja nk
 
Wakuu,
Mila na desturi ni mtindo wa maisha wa jamii waliojiwekea wanajamii kutoka kizazi kimoja hadi kingine.

Mila na desturi zinaweza kuwa ni mtindo wa maisha wa mwanadamu kama mavazi, chakula, heshima, malezi na vitu vingine

Wakuu, zipo mila na desturi ambazo kwa namna moja ama nyingine zinaweza kuwa zimepitwa na wakati.

Mila na desturi hizi zinaweza kuwa ni kandamizi kwa jinsia moja dhaifu na kuwa "favour" pendelea jinsia nyingine, jambo ambalo ni baya na la kupingwa linapokuja suala la usawa na haki za binadamu!

Wakuu, mfano wa mila na desturi hizi ni pamoja na FGM au ukeketaji, miiko ya vyakula, kuwapiga wanawake, ndoa za mitara, ndoa za utotoni nk

wakuu,tujadili kwa pamoja ni njia gani zinaweza kutumika kupunguza kama si kumaliza mila hizi kandamizi na zilizopitwa na wakati.

karibuni.
50/50
 
Utoaji wa mahari, kwanza inashusha utu wa mwanamke, pili hao wanawake wa sasa wamekosa sifa zilizofanya watolewe mahari mfano bikira.
 
Tafuta hela, vinginevyo mwanaume ukiwa huna hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.
Hiki ni suala la kifalsafa si suala la kuwa na hela au kutokuwa na hela.

Ila, ukishindwa kufikiri kidhahania ukaishia kusema "tafuta hela" siwezi kukulaumu.

Hapo ndipo uwezo wako wa kufikiri ulipoishia.
 
Unataka uwe unapewa bure binti wa MTU?

Ebu uje uanzie kwako wengne uwe mfano ili tusiwe tunapokea mahari.

HV KATI YA USHOGA/USAGAJI NA MAHARI KIPI KINATWEZA UTU WA MWANAMKE?

Unaacha kutoa mahari kisa utaonekana umemnunua na kumtweza utu wake, LAKINI HUONI SHIDA NA UNAONA KUWA NI HAKI NA KULINDA UTU WA MWANAMKE KWA KWENDA KUMNUNUA KAMA MALAYA ULALE NAYE HADI ASBH ETI?
 
Unataka uwe unapewa bure binti wa MTU?

Ebu uje uanzie kwako wengne uwe mfano ili tusiwe tunapokea mahari.

HV KATI YA USHOGA/USAGAJI NA MAHARI KIPI KINATWEZA UTU WA MWANAMKE?

Unaacha kutoa mahari kisa utaonekana umemnunua na kumtweza utu wake, LAKINI HUONI SHIDA NA UNAONA KUWA NI HAKI NA KULINDA UTU WA MWANAMKE KWA KWENDA KUMNUNUA KAMA MALAYA ULALE NAYE HADI ASBH ETI?
Vipi wale wanaosema wanataka 5mio kama maharii kisa ety binti yake kasoma na matunzo..... Hiyo imekaaje?
 
Wakuu,
Mila na desturi ni mtindo wa maisha wa jamii waliojiwekea wanajamii kutoka kizazi kimoja hadi kingine.

Mila na desturi zinaweza kuwa ni mtindo wa maisha wa mwanadamu kama mavazi, chakula, heshima, malezi na vitu vingine

Wakuu, zipo mila na desturi ambazo kwa namna moja ama nyingine zinaweza kuwa zimepitwa na wakati.

Mila na desturi hizi zinaweza kuwa ni kandamizi kwa jinsia moja dhaifu na kuwa "favour" pendelea jinsia nyingine, jambo ambalo ni baya na la kupingwa linapokuja suala la usawa na haki za binadamu!

Wakuu, mfano wa mila na desturi hizi ni pamoja na FGM au ukeketaji, miiko ya vyakula, kuwapiga wanawake, ndoa za mitara, ndoa za utotoni nk

wakuu,tujadili kwa pamoja ni njia gani zinaweza kutumika kupunguza kama si kumaliza mila hizi kandamizi na zilizopitwa na wakati.

karibuni.
Wewe bado mtoto,ndoa za wake wengi zimepitwaje na wkt?
 
Wapo sahihi, hata hvo mahari ni zawadi ya lazima unayopangiwa muoji kwa ajili ya kusuza moyo wa mzazi,
Usipoweza kuna wengne ukitoa mguu wanaweka mguu.
 
Back
Top Bottom