kuna mila kweli ni kandamizi,mfano,kurithi wajane,ndoa za utotoni,fgm,kupiga wanawake,mahali,nk hivyo lazima tuzipinge,lakini hao watu weupe wana tamaduni zao si nzuri kwetu nazo lazima tuzipge vita ushoga,kubadili jinsia,ndoa za jinsia moja nkWaafrika tushatawaliwa kifikra hadfi mila zetu tunaziona zimepitwa na wakati..what a waste!
50/50Wakuu,
Mila na desturi ni mtindo wa maisha wa jamii waliojiwekea wanajamii kutoka kizazi kimoja hadi kingine.
Mila na desturi zinaweza kuwa ni mtindo wa maisha wa mwanadamu kama mavazi, chakula, heshima, malezi na vitu vingine
Wakuu, zipo mila na desturi ambazo kwa namna moja ama nyingine zinaweza kuwa zimepitwa na wakati.
Mila na desturi hizi zinaweza kuwa ni kandamizi kwa jinsia moja dhaifu na kuwa "favour" pendelea jinsia nyingine, jambo ambalo ni baya na la kupingwa linapokuja suala la usawa na haki za binadamu!
Wakuu, mfano wa mila na desturi hizi ni pamoja na FGM au ukeketaji, miiko ya vyakula, kuwapiga wanawake, ndoa za mitara, ndoa za utotoni nk
wakuu,tujadili kwa pamoja ni njia gani zinaweza kutumika kupunguza kama si kumaliza mila hizi kandamizi na zilizopitwa na wakati.
karibuni.
Tafuta hela, vinginevyo mwanaume ukiwa huna hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.Mila ya mahari inatweza utu wa mwanamke na imepitwa na wakati.
Hiki ni suala la kifalsafa si suala la kuwa na hela au kutokuwa na hela.Tafuta hela, vinginevyo mwanaume ukiwa huna hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.
Tuachane na Mila potofu hasa kutoa elimu, juu ya vitendo hivyo..... Madhara kwa wahusika.....nini kifanyike mkuu?
Vipi wale wanaosema wanataka 5mio kama maharii kisa ety binti yake kasoma na matunzo..... Hiyo imekaaje?Unataka uwe unapewa bure binti wa MTU?
Ebu uje uanzie kwako wengne uwe mfano ili tusiwe tunapokea mahari.
HV KATI YA USHOGA/USAGAJI NA MAHARI KIPI KINATWEZA UTU WA MWANAMKE?
Unaacha kutoa mahari kisa utaonekana umemnunua na kumtweza utu wake, LAKINI HUONI SHIDA NA UNAONA KUWA NI HAKI NA KULINDA UTU WA MWANAMKE KWA KWENDA KUMNUNUA KAMA MALAYA ULALE NAYE HADI ASBH ETI?
Naunga hojaMila ya mahari inatweza utu wa mwanamke na imepitwa na wakati.
Wewe bado mtoto,ndoa za wake wengi zimepitwaje na wkt?Wakuu,
Mila na desturi ni mtindo wa maisha wa jamii waliojiwekea wanajamii kutoka kizazi kimoja hadi kingine.
Mila na desturi zinaweza kuwa ni mtindo wa maisha wa mwanadamu kama mavazi, chakula, heshima, malezi na vitu vingine
Wakuu, zipo mila na desturi ambazo kwa namna moja ama nyingine zinaweza kuwa zimepitwa na wakati.
Mila na desturi hizi zinaweza kuwa ni kandamizi kwa jinsia moja dhaifu na kuwa "favour" pendelea jinsia nyingine, jambo ambalo ni baya na la kupingwa linapokuja suala la usawa na haki za binadamu!
Wakuu, mfano wa mila na desturi hizi ni pamoja na FGM au ukeketaji, miiko ya vyakula, kuwapiga wanawake, ndoa za mitara, ndoa za utotoni nk
wakuu,tujadili kwa pamoja ni njia gani zinaweza kutumika kupunguza kama si kumaliza mila hizi kandamizi na zilizopitwa na wakati.
karibuni.
Kwa sababu gani mkuu?Naunga hoja
atakuwa ni member wa The GBV prevention network.Hivi USAID wamerudi tena? Au huyu alibaki kwenye payroll
unamwacha unatafuta wa laki 3 mkuu.Vipi wale wanaosema wanataka 5mio kama maharii kisa ety binti yake kasoma na matunzo..... Hiyo imekaaje?
Ndo bei yangu umejuaje mkuu...unamwacha unatafuta wa laki 3 mkuu.
Yaan hapo ni kama wanakuuzia mke,kwenye hiki kipengele waislamu wamejitahidi sanaNdo bei yangu umejuaje mkuu...
Nimesema nikijipiga sana ni million mpk shilingi mia ya kitz,Yaan hapo ni kama wanakuuzia mke,kwenye hiki kipengele waislamu wamejitahidi sana