Sax JF-Expert Member Joined Aug 16, 2015 Posts 3,578 Reaction score 6,740 Feb 11, 2025 #41 Monetary doctor said: Nimesema nikijipiga sana ni million mpk shilingi mia ya kitz, Hapo kwa waislamu imekaaje? Click to expand... hawana hizo nshaona masela wanatoa maandaz na chai mtoto anaenda geto
Monetary doctor said: Nimesema nikijipiga sana ni million mpk shilingi mia ya kitz, Hapo kwa waislamu imekaaje? Click to expand... hawana hizo nshaona masela wanatoa maandaz na chai mtoto anaenda geto
Black Sniper JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 32,406 Reaction score 55,148 Feb 11, 2025 #42 Shanga huwa watu wanafikiri ni tamaduni lakini wazungu ndio walileta kwa kuwarubuni kwa rasilimali zetu Hata Red Indians walipenda sana shanga na kufanya mapambo na urembo kumbe wanaibiwa Wakaletewa na manyoa ndio wakamalizwa kabisa
Shanga huwa watu wanafikiri ni tamaduni lakini wazungu ndio walileta kwa kuwarubuni kwa rasilimali zetu Hata Red Indians walipenda sana shanga na kufanya mapambo na urembo kumbe wanaibiwa Wakaletewa na manyoa ndio wakamalizwa kabisa
Monetary doctor JF-Expert Member Joined Oct 20, 2022 Posts 3,711 Reaction score 6,762 Feb 11, 2025 #43 Doctor G said: hawana hizo nshaona masela wanatoa maandaz na chai mtoto anaenda geto Click to expand... Aseeh me mtu asije nipangia ety anataka mamilion kutoka kwangu! Huyo ba mkwe ataelewa kwanin dunia ni duara 😂
Doctor G said: hawana hizo nshaona masela wanatoa maandaz na chai mtoto anaenda geto Click to expand... Aseeh me mtu asije nipangia ety anataka mamilion kutoka kwangu! Huyo ba mkwe ataelewa kwanin dunia ni duara 😂