mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,922
- 3,618
dawa ni kujenga bila kibali wakija unawahonga tu, kama bwai inakuwa bwai squared
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dawa ni kujenga bila kibali wakija unawahonga tu, kama bwai inakuwa bwai squared
mfano najenga huko Sengerema kawaida 18M nyumba inakamilika, wakinipiga 2% ya 18 M ni 360,000/=Fine 2% ya gharama ya jengo + Gharama zake halisi.
mfano najenga huko Sengerema kawaida 18M nyumba inakamilika, wakinipiga 2% ya 18 M ni 360,000/=
mimi nimejenga mpaka imekamilika na kibali sikijuiYes ni nyingi sana maana ungeomba kibali ungelipa kati ya 100,000/= hadi max 250,000/= ,kwahiyo hapo utapigwa gharama halisi + Fine
mimi nimejenga mpaka imekamilika na kibali sikijui
Niliomba kibali cha ujenzi manispaa ya Kinondoni, tangu Mwezi February 2021, Nimepata kibali October 2021Ni kweli vibali imekuwa ishu...halmashauri ya jiji la mwanza naona wanaongoza kwa usumbufu,ukifika wanakuandalia mazingira ya rushwa,nimekata tamaa sasa nimeamua nitajenga bila kibali chochote.