Tokez
Member
- Oct 4, 2012
- 72
- 29
Jamani hizi riwaya za zamani nazitafuta sana pia
Dah..!Mkuu si peke yako,hata mimi nazihitaji sana riwaya hizi hasa za Elvis Musiba nazipenda sana ila sijui zinapatikana wapi,anayejua anijuze tafadhari..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani hizi riwaya za zamani nazitafuta sana pia
Samahani kwa kuchelewa kuendelea kuleta uhondo. Niliamua kutafuta kazi za watunzi wachanga ambao wanakuja juu. Nimeanza na huyu anaitwa Ahmad Mniachi. Tafadhali rejea juu ili uweze kusoma miongoni mwa kazi zake ambazo anaandaa kitabu halafu tutamwangalia Juma Kidogo. Tuwape moyo UNDER GROUND.
Baadhi ya Riwaya kama kufa na kupona, Njama na Kikomo.
Siri ya sifuri :Bwana Msa
Mpenzi 1 na mpenzi 2: Kajubi Mukajanga
Dogodogo wanitesaaa Niko ye mbajo
Hiba ya wivu
Nataka iwe siri ( au siri sirini )
Nyota ya Rehema
Kasri ya Mwinyi Fuad
Ushindi wa mahaba
Tutarudi na roho zetu
Kurwa na Doto
kikomo
kikosi cha kisasi
after 4.30 😀Avid Mailu
The flesh
unfit for human consumption
my dear bottle
Animal farm
Hapo kwenye red hiyo kitu ni hatari sana. Yaani unasoma halafu kijasho chembamba kinakutoka kisha unagundua unasoma kitabu na siyo muvi ya kweli. Hahaaaa!! Miss those dayz! Sterling: Willy Gamba, Kazi yake Ben R. Mtobwa
sehem gani mkuuHapa hapa Dar na mikoani.
kiliandikwa na Mariama Ba ni kitabu kilichomchora sana mwanamke wa kiafrika na aina ya maisha yanamzunguka!Sitoweza kukisimuli coz sikijuwi vizuri.
Nilitokea kuazimwa na demu tukiwa safarini.
Nilikisoma ktk kurasa zake za mwanzo tu na
kutokea kukikipenda sana.
Kiliandikwa kwa lugha ya kifaransa na kimetafsiria ktk lugha 18 (pengine zimeshaongezeka. Na kimechapishwa kwa mara tofauti. Kinaitwa BARUA NDEFU KAMA HII.