bibliography
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 614
- 228
Ben mtobwa "dar es salaam usiku"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BARUA NDEFU KAMA HII hii riwaya inasisimua mno
daah huwa inanisisimua sana ana akili sana mwandishi huyuRiwaya imeandikwa na Mariama Ba raia wa Senegal na imetafsiriwa kutoka lugha ya Kifaransa. Umenikumbusha mbali Mkuu!
Hivi vitabu kwa sasa vinapatikana wapi?Hizi ni baazi tu za riwaya za kitambo sana (Simu ya Kifo,Mizimu ya Watu wa Kale,Cha Mnyonge Utakitapika Hadharani) hiki kimeandikwa na Ephrahim Kezilahabi
Nakumbuka riwaya nzuri kama NJAMA,na wausika kama willy Gamba,velonica,zainabu e.t.c, dar es salaam usiku pia ilisisimua
Kuna kitabu kinaitwa UTOTOLE muandishi simkumbik! Nilikisoma huku ninalia..!