Tukumbushane siku uliyojipanga kutongoza ila ulipofika Kwa demu ukasahau yote

Tukumbushane siku uliyojipanga kutongoza ila ulipofika Kwa demu ukasahau yote

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,595
Nakumbuka jinsi nilivyokesha kuandika mistari na kuanza kujitongoza mwenyewe na kujikubalia kirahisi nikidhani kutongoza na kukubaliwa itakuwa kama kumsukuma mlevi.

Nilikuwa kila nikitembea najitongoza tu Kwa mistari niliyoapa kuwa Asha hachomoi.

Nikaiandika ,nikaisoma Kwa sauti na kimoyo moyo.Kabla sijaisema nakohoa kwanza na kuweka tai vizuri (hapo Hata tai sijavaa ila akilini niliona IPO shingoni)

Nikawa natembea na karatasi ya mashairi yangu kila nilipoenda.

Mungu sio Kiranga nikakutana na mtoto ana Kwa ana akaniambia

"Nasikia inanitafuta ,unasemaje?"

Nikajiuma uma huku mdomo unatetemeka na mapigo ya moyo yanaenda mbio nikajibu.

"Hata sikutafuti "





Huyo Baharia nikasepa zangu
 
Daaa nimecheka peke yangu umewaza nini
Nakumbuka jinsi nilivyokesha kuandika mistari na kuanza kujitongoza mwenyewe na kujikibalia kirahisi.

nilikuwa kila nikitembea najitongoza tu Kwa mistari niliyoapa kuwa Asha hachomoi.

nkaiandia ,nikaisoma Kwa sauti na kimoyo moyo.Kabla sijaisema nakohoa kwanza na kuweka tai vizuri (hapo Hata tai sijavaa ila akilini niliona IPO shingoni)

nikawa natembea na karatasi ya mashairi yangu kila nilipoenda.

Mungu sio Kiranga nikakutana na mtoto ana Kwa ana akaniambia

"Nasikia inanitafuta ,unasemaje?"

Nikajiuma uma nikajibu Hata sikutafuti

Huyo Baharia nikasepa zangu
 
iyo italic mzee baba imenifanya nimeshindwa kusoma ulicho andika
 
Niliwahi kutaaka kutongoza kabinti flani..tuko sehemu tumekaa nikashindwa kuongea lolote nikamwambia tu I love you. Kalinifundisha jinsi ya kutongoza msichan hapo hapo afu akaniambia jaribu tena..Nikashindwa. ikabidi akubali btw kalikua kananielewa enzi hizo 17yrs.

Haka kabinti kalikua mashine sana nishawahi kueleza kisa chake humu..

Ka first love kangu kenyewe kalinikomalia nikaambie kama nakapenda ila nikashindwa kusema..Basi nichum nikashindwa. Toka kuzaliwa sijawahi fanya hvo, ila nikajikaza nikachum kwenye shavu akakataa eti hataki. Mm apo natetemeka mwili wote.. Mmh ilibidi mm ndio ning'ate vidole badala yake. Mwisho wa siku tulikuja kua kapo matata
 
Soma tena nimerekebisaha kwa niaba..
iyo italic mzee baba imenifanya nimeshindwa kusoma ulicho andika

Nakumbuka jinsi nilivyokesha kuandika mistari na kuanza kujitongoza mwenyewe na kujikibalia kirahisi.

nilikuwa kila nikitembea najitongoza tu Kwa mistari niliyoapa kuwa Asha hachomoi.

nkaiandia ,nikaisoma Kwa sauti na kimoyo moyo.Kabla sijaisema nakohoa kwanza na kuweka tai vizuri (hapo Hata tai sijavaa ila akilini niliona IPO shingoni)

nikawa natembea na karatasi ya mashairi yangu kila nilipoenda.

Mungu sio Kiranga nikakutana na mtoto ana Kwa ana akaniambia

"Nasikia inanitafuta ,unasemaje?"

Nikajiuma uma nikajibu Hata sikutafuti

Huyo Baharia nikasepa zangu
 
Niliwahi kujipanga kutongoza, nikiwa form 3, nikala kibuti cha kwanza na kitakuwa cha mwisho katika maisha yangu na niliumia sana...kabla ya hapo nilikuwa nina demu ambaye alikuwa ni mdogo wake na mume wa sister, (fvck my sister i do yours) ambaye nilianza nae form 1, baada ya hicho kibuti nilikua strategic sitongozi hovyo lazima demu aonyeshe nia na awe mkali, kama nikiwa na ukame sioni tabu kununua japo mara moja moja sana na sio cheap whores
 
haina tofauti na kuingia na nondo kwenye chumba cha mtihani halafu unakuta maswali yote mapya.
 
Dah! Sitasahau nilipokuwa darasa la sita, kulikuwa na demu namzimia sana ila siwezi kutongoza!

Nikamwendea baba mdogo aniandikie mistari ya kutongoza, dah!
Aliniandikia mistari minne tu baada ya kusalimiana na demu nitakayomtongoza.

Alafu nilikuja kukubaliwa tupo form two.
 
Avatar yako inakinzana na wewe mkuru!![emoji39][emoji39]
 
Dah! Sitasahau nilipokuwa darasa la sita, kulikuwa na demu namzimia sana ila siwezi kutongoza!

Nikamwendea baba mdogo aniandikie mistari ya kutongoza, dah!
Aliniandikia mistari minne tu baada ya kusalimiana na demu nitakayomtongoza.

Alafu nilikuja kukubaliwa tupo form two.
pole sana!!
 
Back
Top Bottom