Tukumbushane siku uliyojipanga kutongoza ila ulipofika Kwa demu ukasahau yote

Tukumbushane siku uliyojipanga kutongoza ila ulipofika Kwa demu ukasahau yote

Mara yangu ya kwanza kutongoza nilisema naomba nanii(mzigo) yule mtoto alikimbia hatari sijui aliona simba.

Na alikuwa anatoka kununua sukari kagiza giza ndiyo kanaingia kakaimwaga yote.

Kesi iliyokuja kuniangukia sio mchezo.

Humu JF nilimtongoza bbade kwa kumpa likes akawa anajua eti anacomment hoja za nguvu kumbe mie nalike kwasababu nimekufa kwake tu... nadhani natamani kumtongoza tena nijikumbushie.
 
Ni dalili za upungufu wa nguvu za kiume pia

New age hamjui hustle tulizopitia kabla ya simu kuja, lazima mseme hivyo.

Watu tumecopy mistari ya kwenye The Mine Boy (Xuma anamwimbisha Eliza), Kuna majarida ya Ambha (Story ya Pemba na Bara, sikumbuki kama nimepatia), unamsifu mtoto kama Willy Gamba alivyomsifu Vicky kwenye Njama.

In short tumekula madesa mengi sana kwa ajili ya kuperfect hili zoezi la utongozaji…! Basi tu halina vyeti.
 
New age hamjui hustle tulizopitia kabla ya simu kuja, lazima mseme hivyo.

Watu tumecopy mistari ya kwenye The Mine Boy (Xuma anamwimbisha Eliza), Kuna majarida ya Ambha (Story ya Pemba na Bara, sikumbuki kama nimepatia), unamsifu mtoto kama Willy Gamba alivyomsifu Vicky kwenye Njama.

In short tumekula madesa mengi sana kwa ajili ya kuperfect hili zoezi la utongozaji…! Basi tu halina vyeti.
Namba unayopiga haipatikani kwa sasa
 
Ulivyo na aibu sasa....
Nasubiria mtongozo wa pili kama sio wa tatu sasa.....
Mara yangu ya kwanza kutongoza nilisema naomba nanii(mzigo) yule mtoto alikimbia hatari sijui aliona simba.

Na alikuwa anatoka kununua sukari kagiza giza ndiyo kanaingia kakaimwaga yote.

Kesi iliyokuja kuniangukia sio mchezo.

Humu JF nilimtongoza bbade kwa kumpa likes akawa anajua eti anacomment hoja za nguvu kumbe mie nalike kwasababu nimekufa kwake tu... nadhani natamani kumtongoza tena nijikumbushie.
 
Mimi nilichelewa kuanza kudate, nilipokuja kuanza tayari mambo yalikuwa ni rahisi hivyo sijapittia kabisa hizo shuruba za sijui mara kukaririmistari ya prof. Jay sijui mh. Temba.

Mimi nimeanza tayari tumeshaingia kwenye ulimwengu wa nikupe nikupe.
 
Niliwahi kutaaka kutongoza kabinti flani..tuko sehemu tumekaa nikashindwa kuongea lolote nikamwambia tu I love you. Kalinifundisha jinsi ya kutongoza msichan hapo hapo afu akaniambia jaribu tena..Nikashindwa. ikabidi akubali btw kalikua kananielewa enzi hizo 17yrs.

Haka kabinti kalikua mashine sana nishawahi kueleza kisa chake humu..

Ka first love kangu kenyewe kalinikomalia nikaambie kama nakapenda ila nikashindwa kusema..Basi nichum nikashindwa. Toka kuzaliwa sijawahi fanya hvo, ila nikajikaza nikachum kwenye shavu akakataa eti hataki. Mm apo natetemeka mwili wote.. Mmh ilibidi mm ndio ning'ate vidole badala yake. Mwisho wa siku tulikuja kua kapo matata
Hahahh.. jau kinoma mzeeee
 
Inatakiwa tuwape shule watoto wetu wa kiume ili wasipitie shuruba tulizopitia enzi hizo,tongoza ya kwanza iwe kama kukata blueband kwa kisu cha Moto [emoji3][emoji3].
 
Najilaum adi leo niliremba weeee kujishikashika kwngi yaliyonikuta ni maumivu tu adi leo kuna cku meandka ad kwny karatas kufka kwao mistar yot imevepa kisa kumpenda kulko pitiliza...... Nakpenda san 'M' popote ulpo!!!!
 
Back
Top Bottom