Tukumbushane tu wasanii ambao game limeshawaacha ila wao kama bado hawajijui

Ila NAY wa Mitego kishaisha zamani,ila anajifanya kujificha kwenye shamba la mchicha,kwa kujifanya kuwaponda wenzake wamefulia wakati yy ndiye ana hali mbaya kuliko anao waponda,sijui anazani hatumuoni.
Sema tu mademu wanapenda lile limwili lake...
..
Bila hilo angeshasanda zamani...
 
Rich Mavoko..anaitumia nguvu nyingi Sana but ukweli utabaki kwambw Zama zake zimepita
 
Wazee wa kupima oili, siku hizi nyama tunafunga kwenye foili- Ney.
 
Watoto wa wcb utawajua tu,wanachuki hao uliwaweka ndio wanawapa shida sasa kwenye game mnaumia sana roho,eti harmonize nayeye game imeshamuacha mbona ujamtaja msanii wenu wa wcb queen darlin aache mziki.

Bila shaka utakuwa bado unakula kwa baba na mama.aujui mziki wewe.nonsense
 

Usimsahau IZZO B pia nakukumbusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…