chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
hakuna namna.Amekufa kishujaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna namna.Amekufa kishujaa
kwa Sasa utakuwa above 57 yrs age.Nilikua form 3 Tambaza
unajuaje[emoji23][emoji23].Miaka hiyo hata wazazi wangu ealikuwa bado hawajaanza kunyanduana
Bado wapo hai, japo wengi wao hatunao tena. ila JWTZ katika kumbukumbu za siku hii ya mashujaa ingefanya mpango wa kuwatambua kila wilaya nchi nzima angalau wapewe nishani ya heshima lakini siku za kumbukizi za siku ya mashujaa Basi wawe wanakutanishwa kwenye wilaya zao kwa pamoja, itawapa faraja Sana Hawa wazee wetu mashujaa.Kuna mzee alipigana hiyo vita tunaishi naye huku hali yake ya maisha daaah na watoto wanamuita Sungura.
[emoji23][emoji23][emoji23],hasa makabila ya wasukuma,wanyakyusa,wangonialienda baba yangu huko hua anatupa story ilkuwa inapiga mizinga ya maadui mpka baadhi ya wajeda wa kibongo wanalia kama watoto....
akagusia wajeda hao walikuwa haswa makabila ya.........
sitaki bifu wazeee huwa nacheka sana
Hujatuambia uliolewa na miongoni mwa wale mashujaa? au ulizinguaSikumbuki mwaka vizuri Ila nilikuwa darasa la 4 Kati ya 78 au 79. Ilitangazwa kuwa Vita imeisha na MASHUJAA wetu wanarudi nyumbani.
Tulienda kuwapungia mkono stesheni wakati walipopita na treni nakumbuka tuliimba nyimbo za kizalendo za kumsifu Baba wa Taifa hili na kumkashifu Dikteta Idd Amini Dada. Ulikuwa ni uzalendo wa kwenye damu kabisa.
Tukio moja ambalo sitalisahau kuna Shujaa ( Mwanajeshi) alituona tuko kikundi watoto wa kike akatuuliza ' Nani mchumba wangu' wote tukajibu Mimi, Mimi akatupa biskuti. Biskuti zao zilikuwa za chumvi. Tulifurahi Sana maana tulikuwa tunaenda kishule hata watu binafsi walikuwa wanakuja.
Uzalendo huu natamani ungekuwepo leo. Karibuni mliobahatika kuwaenzi MASHUJAA WA Taifa hili.
Kwanini?Kuna mzee alipigana hiyo vita tunaishi naye huku hali yake ya maisha daaah na watoto wanamuita Sungura.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilimchinjia shujaaa jogoo na mbuzi
Kumbe wewe ni Mwanasambukile!?Nilikua form 3 Tambaza
Hilo jina nililikuta tangu nilipohamia huku na sijafuatilia sababu za wao kumuita hivyo, labda kwa sababu anacheza cheza nao muda mwingi.Kwanini?
Ni kweli mkuu watakuwa wamethaminiwa wao na mchango wao.bado wapo hai,japo wengi wao hatunao tena.ila jwtz katka kumbukumbu za siku hii ya mashujaa,ingefanya mpango wa kuwatambua kila wilaya nch zima,angalau wapewe nishani ya heshima,lakini siku za kumbukiz za siku ya mashujaa Basi wawe wanakutanishwa kwenye wilaya zao kwa pamoja,itawapa faraja Sana Hawa wazee wetu mashujaa.