Tukumbushane tuliowapokea mashujaa wa vita vya Kagera

Alienda baba yangu huko, huwa anatupa story ilikuwa inapiga mizinga ya maadui mpaka baadhi ya wajeda wa kibongo wanalia kama watoto....

Akagusia wajeda hao walikuwa haswa makabila ya.........

Sitaki bifu wazeee huwa nacheka sana
 
Kuna mzee alipigana hiyo vita tunaishi naye huku hali yake ya maisha daaah na watoto wanamuita Sungura.
Bado wapo hai, japo wengi wao hatunao tena. ila JWTZ katika kumbukumbu za siku hii ya mashujaa ingefanya mpango wa kuwatambua kila wilaya nchi nzima angalau wapewe nishani ya heshima lakini siku za kumbukizi za siku ya mashujaa Basi wawe wanakutanishwa kwenye wilaya zao kwa pamoja, itawapa faraja Sana Hawa wazee wetu mashujaa.
 
alienda baba yangu huko hua anatupa story ilkuwa inapiga mizinga ya maadui mpka baadhi ya wajeda wa kibongo wanalia kama watoto....

akagusia wajeda hao walikuwa haswa makabila ya.........


sitaki bifu wazeee huwa nacheka sana
[emoji23][emoji23][emoji23],hasa makabila ya wasukuma,wanyakyusa,wangoni
 
Hujatuambia uliolewa na miongoni mwa wale mashujaa? au ulizingua
 
Nilikuwa kortini nijitetee kama kuna umuhimu nije kuwa mtoto wa nne
Nilishinda kesi
 
Mashujaa wengi walirudi na gridi ya Taifa toka UGANDA aiseee. Baada ya vita babu yangu na wazee wengine walikwenda kufundisha huko. Baba wa shemeji yangu ndo alikuwa mkuu wa kitengo cha ulinzi idara moja muhimu huko Uganda, alinipa michapo jinsi askari wa Jwtz walivyozipiga kachabari papuchi za banyankole kwa sana. Ananiambia Uganda kuna wanawake wazuri ila sio wale wa kabila la obote la Bachori hao walikosa soko.
 
Ni kweli mkuu watakuwa wamethaminiwa wao na mchango wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…