Tukumbushane tuliowapokea mashujaa wa vita vya Kagera

Hujui kitu. Neno mchumba, rafiki, babu au bibi hutumiwa na watu wazima kuwatambua watoto, a social interaction. Mtoto hitaji lake kubwa ni kupenda, kujaliwa.
Kumuita mwanangu naona sahihi. Kwa kizazi hiki ambacho watoto wanajua vingi na ukamuita mchumba huoni ya kuwa unawahamisha kwenye reli.
Ukimuita mchumba ndo ataona anapendwa kuliko kuitwa mwanangu.??
 
Babangu alituambia kipindi cha vita waliokuwa wanalinda mipakani uapnde wa mara kule rorya walikuwa wanachinjiwa mifugo au waliwaruhusu tu kuchinja maana waliwapokea kama wafalme
 
Uzi wa wakongwe, anyway wakti huo nilikuwa darasa la tatu, kipindi hicho kulikuwa na wazalendo kikweli.
 
Tulikuwa wazalendo kwelikweli wiki nzima tunapigigwa na Jua tukiwasubiri pale Stesheni ya Dodoma, unajua zamani na changamoto za mawasiliano walipofika ilikuwa nderemo na vifijo, ilikuwa fahari kubwa Sana kuonyesha heshima zetu kwao. Siku hizi kuna majinga machache yanavaa skafu halafu yanajiita mazalendo huku matendo yao ni ya kuyaonea huruma.
 
Namkumbuka Sikamona na mpenzi wake Rusia.
 
Mchumbawe nini [emoji23]
Wanawake Mungu anawaona..

Nyie tangu utoto ni wapigaji tu. Sasa ona huyu alimdanganya shujaa kuwa ni mchumba wake.

Kapewa biskuti, alafu akala kona. Kachukuliwa na Baharia
 
Wanawake Mungu anawaona..

Nyie tangu utoto ni wapigaji tu. Sasa ona huyu alimdanganya shujaa kuwa ni mchumba wake.

Kapewa biskuti, alafu akala kona. Kachukuliwa na Baharia
Ayaaa yamekuwa haya tena. Jamani neno mchumba ni la kawaida wewe katika makuzi yako mzazi au MTU yoyote hajawahi kukutania kuwa utamuoa Fulani? au wenzetu mnaishi angani?.
 
Eti Amini alikua anakula nyama za watu!!Na watu wakaamini kabisa hizo propaganda
 
Mkuu ungetaja tu hayo makabila yaliyokuwa yakilia ili kuweka sawa historian yetu


Alienda baba yangu huko, huwa anatupa story ilikuwa inapiga mizinga ya maadui mpaka baadhi ya wajeda wa kibongo wanalia kama watoto....

Akagusia wajeda hao walikuwa haswa makabila ya.........

Sitaki bifu wazeee huwa nacheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…