Tukumbushane ukoloni uliowahi fanyiwa na wazee wako

Pole sana
 
Du wakuu long time sana. Ila hiyo ya kutumika kama stendi ya tv for 3 months ilikuwa ni zaidi ya ugaidi!
 
Haahahahhahahahahhahahhaha
 
Zile shuruba(suruba ),seleka za waqt ule ukizifanya kwa vijana wetu wa leo murder case nyingi na pale muhimbili (moi )wateja wataongezeka.
Kuna siku bimkubwa kampelekea dogo vile visahani vya chai vya udongo kwanza nakumbuka maana kilirushwa kwa ueledi mkubwa kama olimpic medal ingemuhusu basi kilikwenda na kumkosa dogo kikapiga ukutani najaribu kulikumbuka tukio hilo.
 
Mzee alikua na.adhabu mbaya kisaikolojia...Sikukuu ya Idd umenunuliwa nguo mpya ukitoka masjid ukaenda kuzurura kabla yakurejea home tu..ukija unavua nguo anakwambia chukua jembe kalime pilau ya idd itakufuata huko shamba alaf wenzio wanaenda kutembea daaah mpaka nasisimka nikikumbuka
 
Kumbe utundu umeuanza siku nyingi!!
 
Umenikumbusha siku moja tulikwenda kumtembelea dada mmoja, wageni tukakaribishwa na kupewa vinywaji kadri ya tulivyotaka, mie nikawa nakunywa maji na mwenzangu anakunywa soda, mtoto akaja akamnyang'anya mwenzagu soda eti 'lete soda yetu' akaondoka nayo na yule mama yupo tu 'jamani huyu mtoto mkorofi'
Nikawaza hivi enzi zile za wazazi wetu sijui tukio gani lingefuata hapo!!
 
Yupo mtoto wa swahiba yangu Ilikuwa ndo mara ya kwanza tunakutana sasa mzee wake akaingia ndani kwenda kunitafutia kitu nilichofuata dogo akaanza mambo hayo mara kanirukia mara hivi basi nilimvizia kisha nikamkamata uzuri na kumsina waqt huo navuta kumbukumbu wale mabibi zetu walivyokuwa wakisina kama nusu dakika hivi nikamuachia wacha apige yowe bimkubwa wake kaja junior unalilia nini? dogo analia tu hakusema kitu sijui labda nilipoondoka ila ilisaidia maana baada ya hapo alikuwa akiniona adabu ilichukua mkondo wake .
 

huwezi jua kilichofuata baada ya nyie kuondoka!

Hata sisi hatukuwahi kupigwa wageni wakiwepo ila sasa subiri waondoke...!!!! utaomba warudi...
 
Hahaha madingi wa Kiafrika magaidi sana ila poa tu vitendo vyao vilisaidia kukuza watu katika heshima na maarifa pia


Nasoma uzi humu nakumbuka msala wa dingi yake Domokaya na Mandojo

Sijui nini sufuria kazitia misumari

Kumkomoa maza housegirl si kamtia mimba.........
 

Duuh,huyo alikuwa mjerumani pure.
 
dah kweli mzee mkolon kinoma
 
Tulikuwa na jirani yetu mzee digalile yeye akiamka alfajiri akienda msalani kuna mtungi kule anakuta maji ni ya baridi sana kuliko mtungi wa sebuleni nadhani alivumilia sana hali ile ikamshinda siku isiyo na jina kamwita bint yake mkubwa akatoe mtungi wa msalani akamwambia aukoshe uzuri baada ya hapo wa sebuleni ukapelekwa msalani na wa msalani ukahamia sebuleni maisha yakaendelea
 
Nilikua nachukia kishenz...

Wakat niko Primary, nikiwa wa pili na kuendelea darasan basi dingi ananipiga stick "kwanini umekua wa pili??? Huyo wa kwanza anakuzidi nini???"

Basi nikawa na mind kishenz yaan. Maana rafik yangu Lombiza yeye hata akiwa wa 30 huko dingi yake hata hamchapi...

Thanks for that attitude, maana nilijengwa kuwa wa kwanza class from darasa la nne mpaka namaliza form six nilikua nakimbiza tuu...

Bila stick za dingi leo hii nisingelikua Engineer.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Haha
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nadhani hii itafunika zote aiseee.
 
Haha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…