Tena we Salt nakuwindaga, nikikupata nakutoa matenga, daadeki!Tunapenda sana pesa.....mjue hilo.
Kunitoa matenga ndo kufanya niniTena we Salt nakuwindaga, nikikupata nakutoa matenga, daadeki!
Nitoe matenga nikutoe busha!!!!Evelyn Salt, huko Mwanza mnasemaje? Kukutoa matenga maana yake sikupi hela, nakula mzigo halafu nakuambia nitakurushia kwenye simu, halafu sirushi..
Hahahaaaaa, dua la kuku huwa halimpati mwewe! Hutanitoa busha wala nini, zaidi utaomba rematch, maana utakuwa umependa shoo.Nitoe matenga nikutoe busha!!!!
Mwanza ni pouwa
Akaaaaa show yako peleka kwenye mgomba....Hahahaaaaa, dua la kuku huwa halimpati mwewe! Hutanitoa busha wala nini, zaidi utaomba rematch, maana utakuwa umependa shoo.