Tukumbushane: Unavyonunua TV mpya, unaangaliaga vigezo gani?

Tukumbushane: Unavyonunua TV mpya, unaangaliaga vigezo gani?

Ongeeni yote,ila Retina Display Kiboko,Kuna Uzi umesema watumiaji wa Apple wanaibiwa,Sasa hiyo Retina Display ipo kwenye Apple TV tu,na Vioo vya Laptops za apple,ni Hatari hata nje kwenye Jua Kali wazungu wanaonekana..
Sema bro, Apple hawatengenezi TV (tunamaanisha screen). Apple TV 4K ni streaming services.
Apple-TV-4K-ports-with-ethernet-221018_big.jpg.small_2x.jpg
Apple-TV-4K-Siri-Remote-close-up-221018_big.jpg.small_2x.jpg
images (40).jpeg


Device peke yake inauzwa $130 na unahitaji subscription ambayo ni $9 kwa mwezi.

Kwa lugha nyepesi Apple TV ni kama Roku au Chromecast.
 
Sjui kuhusu vyote ivo ila ukinipa lg 65 inches 4k (16k, q led kwa content ipi source ntapata? 4k inatosha, vingamuzi vyetu vyenyewe 1080 pixle za mchongo) ikiwa model ya 2020 and above ( ikiwa korea model ni nzuri zaidi) ntachukua. Sababu ni uwezo wake mzuri wa kuvumilia umeme wetu wa mchongo as compared to samsung na hisense tcl. Sony bado wazito kwenye kuenda na soko
Sony wamekimbizwa sana. Yeah hapo kwenye QLED mikono juu.
 
Naomba kujua kuhusu vioo maana nasikia mala nyingine zinavioo viwili nyingine kioo kimoja
Pia nawezaje kuzitofautisha yani nikionyona tv nijue hii Ina kioo kimoja ama viwili
Mwisho napenda kujua ipi ni bora kwa matumizi ya nyumbani ya kiafrica Kati ya izo mbili yani yenye kioo kimoja na yenye vioo viwili
Kua na double screen ni maneno ya wafanyabiashara wa Kariakoo na TV za China. Brand kubwa hawanaga iyo kitu mkuu.

Ila kama inaongeza durability bila kuathiri quality nadhani ni vizuri kuinunua.

Ila bado nawaza double screen ya nn kwenye TV wakati TV nimeiweka tu pale kwenye Ukuta. Bora simu nazunguka nayo.
 
Mbona nme-google hy external dongle lkn nimepewa maelezo tofauti na yako.?
 
Back
Top Bottom