Sema bro, Apple hawatengenezi TV (tunamaanisha screen). Apple TV 4K ni streaming services.Ongeeni yote,ila Retina Display Kiboko,Kuna Uzi umesema watumiaji wa Apple wanaibiwa,Sasa hiyo Retina Display ipo kwenye Apple TV tu,na Vioo vya Laptops za apple,ni Hatari hata nje kwenye Jua Kali wazungu wanaonekana..
Sony wamekimbizwa sana. Yeah hapo kwenye QLED mikono juu.Sjui kuhusu vyote ivo ila ukinipa lg 65 inches 4k (16k, q led kwa content ipi source ntapata? 4k inatosha, vingamuzi vyetu vyenyewe 1080 pixle za mchongo) ikiwa model ya 2020 and above ( ikiwa korea model ni nzuri zaidi) ntachukua. Sababu ni uwezo wake mzuri wa kuvumilia umeme wetu wa mchongo as compared to samsung na hisense tcl. Sony bado wazito kwenye kuenda na soko
Kua na double screen ni maneno ya wafanyabiashara wa Kariakoo na TV za China. Brand kubwa hawanaga iyo kitu mkuu.Naomba kujua kuhusu vioo maana nasikia mala nyingine zinavioo viwili nyingine kioo kimoja
Pia nawezaje kuzitofautisha yani nikionyona tv nijue hii Ina kioo kimoja ama viwili
Mwisho napenda kujua ipi ni bora kwa matumizi ya nyumbani ya kiafrica Kati ya izo mbili yani yenye kioo kimoja na yenye vioo viwili
Monitor za inch 27 unaweza kufanya kua tv,Ina retina display (tv monitor),Sema bro, Apple hawatengenezi TV (tunamaanisha screen). Apple TV 4K ni streaming services.
View attachment 3002303View attachment 3002304View attachment 3002305
Device peke yake inauzwa $130 na unahitaji subscription ambayo ni $9 kwa mwezi.
Kwa lugha nyepesi Apple TV ni kama Roku au Chromecast.
Sawa, kwahy kama nna Tv ya kawaida naweza kuifanya kuwa smart kwa kutumia hicho kifaa au siyo.?Sijajua umetafuta ipi, maana nazo zina OS yake mfano:
Android
View attachment 3002318
Roku
View attachment 3002319
Amazon
View attachment 3002320
Kwahiyo unavyo Google at least uongeze na OS unayotaka.
Bro it worth the price, iphone x haifanani na Samsung S10 japo zote zimetoka pamoja, kuanzia resale price,ubora,uimara na Kila kitu,ila kizuri ni kwamba Kila mtu na uchaguzi wake,sio shabiki sana wa iPhone,but kwenye computers tuwape maua Yao..Hapo nimekusoma. Ila Apple na bei zenu mi hapana.
Ok sawa mkuu may be, hiyo A6 series sijaribu ila niliwahi jaribu A4 seriesNadhani tv zinatofautiana mimi simu yangu napoiunga na hisense A6 Series hua inaunganishwa na wifi
LG kuna ile inaitwa nanocell sauti yake hatariNzuriii,
Kwa uzoefu, Kati ya Samsung, Sony na Lg.
Katika specs sawa, Sony Yupo vizuri sana kwenye Ubora wa picha na Uimara wa Display akifuatiwa na Samsung.
LG Sauti Nzurii...