Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

nakumbuka sun seat beach ilikua ikianza tunafukuzwa kulala
Hahaha sisi home tulikuwa na Tv aina ya National nchi 21 mzee ilikuwa akifika tu saa nne anaanza hayahaya kama mwanafunzi kulala sasa afu ndio inaanza daaah tulikuwa tunaibeba tunaenda nayo chum bani kimyakimya
 
Vipindi hivyo vingine ni vya uchochezi kwa vijana wetu...hatuvitaki virudi.tuwekewe vipindi vya kilimo vya kufuga...vya PowerTilla zinavyolima na hotuba za rais.
 
Duh hata wewe utakua nusu kustaafu mi ndo hata shule siijui
 
Tangazo la Revola da sijui kwanini walilitoa bora hata wangeliacha you tube alikua miriam odemba yule nazani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…