Tukumbushane Wachagga waliowahi kusakata kabumbu kwa kiwango cha ligi kuu bara

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115]
 

Rais wa zamani wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodegar Tenga (kushoto) akifurahia kwa vinywaji na wanafunzi wenzake wa Chuo Kikuu cha Dar e Salaam (UDSM) mwaka ya 1981.
Anakunywa safari larger
 
Lyatonga Mrema, alikua bonge la middle enzi zake pale Ushirika Moshi
 
Majina Hamna mkuu, hayafiki hata matatu... Ndo maana Mara mexime, Mara boban
Wafunge uzi, majina hayapo tujadili bangi anazovuta Haruna Moshi Bobani. Ivi bado yupo kule vingunguti, aangalie soba sio ya akina chidi benzi peke yao
 
Ni ngumu kuwapata wengi sana cause sifa kubwa kucheza mpira ilibidi uwe unavuta bangi au kutokwenda shule sasa bahati mbaya uchagani masekondari yakawai sana
 
Ungekuwa na hela kwa hapa nyumbani wangecheza sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…