"TUKUMBUSHANE Wakubwa"

"TUKUMBUSHANE Wakubwa"

Kiona

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2012
Posts
933
Reaction score
240


Hivi Gazeti la Mwanahalisi liko wapi?
Naye Dr.ulimboka amehamia nchi gani?
Hivi mgomo wa walimu lini?
Na mafisadi wa EPA watanyongwa lini?
Hivi unakumbuka mbunge analipwa posho kiasi gani kwa siku?
Unakumbuka bunge liliamuru bwana jairo na philimon Luhanjo wafukuzwe kazi iliishia wapi?
Unakumbuka mazishi ya Balali yalivyokuwa?
Je unakumbuka kifo cha mwandishi wa habari Daudi mwangosi?
Hivi sakata la Richmond,Dowans linaendaje?
Hivi twiga walioibiwa na wageni wamerudishwa?
Tafakari tusiwe wepesi wa kusahau jamani, sisi ndio wajenga nchi.

Nisaidieni majibu hayo yote yameishia hewani
 
Hivi Gazeti la Mwanahalisi liko wapi?
Naye Dr.ulimboka amehamia nchi gani?
Hivi mgomo wa walimu lini?
Na mafisadi wa EPA watanyongwa lini?
Hivi unakumbuka mbunge analipwa posho kiasi gani kwa siku?
Unakumbuka bunge liliamuru bwana jairo na philimon Luhanjo wafukuzwe kazi iliishia wapi?
Unakumbuka mazishi ya Balali yalivyokuwa?
Je unakumbuka kifo cha mwandishi wa habari Daudi mwangosi?
Hivi sakata la Richmond,Dowans linaendaje?
Hivi twiga walioibiwa na wageni wamerudishwa?
Tafakari tusiwe wepesi wa kusahau jamani, sisi ndio wajenga nchi.

Nisaidieni majibu hayo yote yameishia hewani
hivi Jana Mbowe alipewa nini na mchaga mwenzake (IGP)? Au ndo kutosana na kutoana kafara mabomu na vitu vya incha kali vikianza kutumika?:rockon:
 
hivi magaidi wanatoka chama gani, wapojela gani.slaa amejikopesha bei gan.
 
Kubenea, Kibanda, Mwangozi, Imran Kombe, Wafanya biashara ya madini wa Mahenge, Ulimboka, J.K Nyerere, Sokoine, Kigoma Malima, Abdul Jumbe, Kolimba, Mwakyembe, Mtambuzi, Mwanahalisi, MOTOMOTO (gazeti a.k.a Loliondo kuuzwa, OIC), etc....
 
Hivi Mulugo alipataje Uwaziri wa elimu? na ile saga ya kuiba mitihani kule Southern Highland iliishia wapi?
 
Kubenea, Kibanda, Mwangozi, Imran Kombe, Wafanya biashara ya madini wa Mahenge, Ulimboka, J.K Nyerere, Sokoine, Kigoma Malima, Abdul Jumbe, Kolimba, Mwakyembe, Mtambuzi, Mwanahalisi, MOTOMOTO (gazeti a.k.a Loliondo kuuzwa, OIC), etc....


Haya yote watanzania walishasahu na hakuna sehemu hata moja haki ilitendeka
 
Kwani nyerere ali uwawa? haiwezekani kwa sababu aliyekuwa madarakani ni mwanafunzi wake mwaminifu na angetuambia.
 
Kubenea, Kibanda, Mwangozi, Imran Kombe, Wafanya biashara ya madini wa Mahenge, Ulimboka, J.K Nyerere, Sokoine, Kigoma Malima, Abdul Jumbe, Kolimba, Mwakyembe, Mtambuzi, Mwanahalisi, MOTOMOTO (gazeti a.k.a Loliondo kuuzwa, OIC), etc....

Stanley Katabalo.....gazeti la mfanyakazi
 
Back
Top Bottom