Pia alikuwa ni Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa.Marehemu Dr. Lawrance Gama, muasisi wa club kongwe ya majimaji na milambo, amesimamia ujenzi wa viwanja vikubwa katika hii nchi, ambavyo ni mamajimaji Songea, Alhasani Mwinyi Tabora na ule wa Jamhuri Dodoma. Huyu ndio baba wa mkoa wetu wa Ruvuma.
Pia aliwahi kuwa Mkurugenzi wa national services (JKT) na katibu mkuu wa Chama cha mapinduzi Taifa, kwa tunaomfahamu Daktari, alikuwa kiongozi kweli kweli.Pia alikuwa ni Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa.
Huyu mzee yupo aisesaid said kalembo,,songea ruvuma
Kalembo pia aliwahi kuwa RC wa mikoa ya Ruvuma na Morogoro!Dk James nsekela, tabora Mohammed abdulazizi Lindi, meja general mstaafu, saidi kalembo tanga, Monica mbega, iringa, amina mrisho ruvuma, abasi kandoro mwanza, William lukuvi, DSM, mohamedi babu rukwa, na kanali enok mfuru, Mara.
Halima Kasunga - SingidaMimi nawakumbuka akina,
James ole Njoray
Dokta Wilbert Kleruu
Ukiwaona Ramadhani Mwinshehe Ditopile Mzuzuri
Steven Mashishanga
Karibu uendeleee...
Siyo njoray ni NjolaySio James bali Daniel Ole Njoray
umechanganya wakuu Wa wulayaBRIGADIA GENERAL MUHIDIN KIMARIO (R.I.P)
SARA MWENGE (R.I.P)
ANNA ABDALLAH
ATHUMAN KABONGO
W.LUKUVI
W.KUSILA
JOHN TUPA
GUNINITA
NAPELAPE NNAUYE
JOHN NCHIMBI
ZAINABU KWIKWEGA
SHABANI KISU
D.OLE NJOLAY
Abdul Noor Suleiman(RIP ) akaja hamishwiwa Mwanza 1983 Nyerere akamtumbua UlanguziAbdul Noor Suleiman...Arusha
Waziri Juma....SouthernHighLand Privince
Edward Barongo Northern Province
Mwakangata....Arusha
Y.MAKAMBA-KIGOMA,DAR
PAUL KIMITI
J.S.MALECELA -MBEYA
ANNA ABDALLAH
W.LUKUVI
W.KUSILA
BARONGO
BR.GNR.MUHIDIN KIMARIO
KANDORO
M.CHIPUNGAHELO