Tukumbushane Wakuu wa Mikoa wa miaka ya nyuma

Tukumbushane Wakuu wa Mikoa wa miaka ya nyuma

Simbakalia,Machibya na Kandoro moja ya RC niliowakubali sana
 
  • Thanks
Reactions: cdc
Marehemu Dr. Lawrance Gama, muasisi wa club kongwe ya majimaji na milambo, amesimamia ujenzi wa viwanja vikubwa katika hii nchi, ambavyo ni mamajimaji Songea, Alhasani Mwinyi Tabora na ule wa Jamhuri Dodoma. Huyu ndio baba wa mkoa wetu wa Ruvuma.
Pia alikuwa ni Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa.
 
Dk James nsekela, tabora Mohammed abdulazizi Lindi, meja general mstaafu, saidi kalembo tanga, Monica mbega, iringa, amina mrisho ruvuma, abasi kandoro mwanza, William lukuvi, DSM, mohamedi babu rukwa, na kanali enok mfuru, Mara.
 
Dk James nsekela, tabora Mohammed abdulazizi Lindi, meja general mstaafu, saidi kalembo tanga, Monica mbega, iringa, amina mrisho ruvuma, abasi kandoro mwanza, William lukuvi, DSM, mohamedi babu rukwa, na kanali enok mfuru, Mara.
 
Ole Njoolay namkumbuka mkuu wa mkoa wangu Arusha enzi hizo bado nyoka mdogo sana mpaka wakati huu nimekua nafika Kibaha ku survey nakutana na Transformer linaitwa Ole Njoolay TF lenye kVA 200
 
Dk James nsekela, tabora Mohammed abdulazizi Lindi, meja general mstaafu, saidi kalembo tanga, Monica mbega, iringa, amina mrisho ruvuma, abasi kandoro mwanza, William lukuvi, DSM, mohamedi babu rukwa, na kanali enok mfuru, Mara.
Kalembo pia aliwahi kuwa RC wa mikoa ya Ruvuma na Morogoro!
 
BRIGADIA GENERAL MUHIDIN KIMARIO (R.I.P)
SARA MWENGE (R.I.P)
ANNA ABDALLAH
ATHUMAN KABONGO
W.LUKUVI
W.KUSILA
JOHN TUPA
GUNINITA
NAPELAPE NNAUYE
JOHN NCHIMBI
ZAINABU KWIKWEGA
SHABANI KISU
D.OLE NJOLAY
umechanganya wakuu Wa wulaya
 
Nawakumbuka, Christopher Liundi (Dar, Kigoma) Daniel Machemba(MZA, SHY) John Mhavile, (Mor) Marry Chipungahelo (Dar) Major Gen Makame Rashidi (Mbeya) John Mwakipesile (Mbeya) Azan Al Jabri (Mbeya) Christant Mzindakaya(KGM) Lt Gen Ndomba (AR)
 
Mejor Gen Makame Rashidi, Azan al jabri, John Mwakipesile, Abbas Kandoro (Mbeya) John Mhavile (Mor) Daniel Machemba RIP (MWZ na SHY) Christopher Liundi (KGM) Lt Gen Ndomba ( AR) Marry Chips Chipungahelo( DAR) Mzindakaya (KGM)
 
Y.MAKAMBA-KIGOMA,DAR
PAUL KIMITI
J.S.MALECELA -MBEYA
ANNA ABDALLAH
W.LUKUVI
W.KUSILA
BARONGO
BR.GNR.MUHIDIN KIMARIO
KANDORO
M.CHIPUNGAHELO

Athuman kabongo Iringa
Jaka mwambi rukwa
Nikodemas banduka
Abubakari Mgumia
Mrs Busongwa
Ishengoma
Samwel Sita
Fatuma Mwasa
Simba kalia
 
Back
Top Bottom