NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
Huyu mkewe alikuwa mwalimu wangu primaryHuyu mzee yupo aise
Fabian Massawe not Fabian massageKanali Fabian massage huyu jamaa alikuwaga balaa mkoani kagera sijui kwanini magufuli kamsahau
mavi ni wewe usiojua kuwa hakuna tofauti yoyote kati ya wanyamwez na wasukuma wote ni wale wale.. ukweli ni kwamba baba yenu ni mkabila.Pumbavu wewe yule ni mnyamwezi wakabila nyie mavi
Chadema kwa ukabila mnajulikana nyie watu ni wakabila sana na hamtakaa mfike popote watanzania wameshawajuae namna mlivyo hatari kwa taifa letu mna laanamavi ni wewe usiojua kuwa hakuna tofauti yoyote kati ya wanyamwez na wasukuma wote ni wale wale.. ukweli ni kwamba baba yenu ni mkabila.
Mimi nawakumbuka akina,
James ole Njoray
Dokta Wilbert Kleruu
Ukiwaona Ramadhani Mwinshehe Ditopile Mzuzuri
Steven Mashishanga
Karibu uendeleee...
Nakumbuka dereva wake bwana D aliwahi kusimulia kuwa ndio mkuu wa mkoa alikuwa mtata kulioko wote aliowaendesha wakati huo anaendesha landrover 109Kafanabo -singida
Nafikiri kwa Dar, huyu aliyepo ndo wa kwanza, haijawahi kuwa na mkuu wa mkoa!!!!!Namkumbuka ABAS KANDORO dar aliniachia maji ya kandoro mpaka sasa watu wanayatumia