Tukumbushane ya Pugu Sekondari

Tukumbushane ya Pugu Sekondari

Huyo Kaundula mimi ni Baba yangu Mlezi(Baba wa Kambo), kwenye masomo ya Chemistry na Physics alikuwa akinisaidia sana vitabu kama una namba zake niPM mkuu maana nilivurugana nae ndo nikatoka kwake kwa hasira nikaenda zangu Bush kujipanga, lakini namwombea kwa Mwenyezi Mungu apate Baraka tele, na Mr.Mabagala alikuwa ni best yake, dah! Umenikumbusha mbali mkuu
Mr Kaundula! Mzee wa head on collitions of neutrons and electrons during chemical reactions! Bombardments, empty obitals na makolo kolo ya namna hiyo! Yule mwalimu kiboko sana! Tulikua tunamkubali sana! Hana time na mtu yeye ni kushusha nondo tu! Halafu kizungu mwanzo mwisho!
 
Mimi nakumbuka sana "battle" nilikuwa naishi "Mapinduzi ",,,nakumbuka pia maisha ya pond,,maisha ya kubeba maji ya kunywa kwenye kidum cha lita tano....zaidi ya yote naikumbuka sana shule yangu Pugu high school ilinilea vizuri sana...wako wapi mkali wa hesabu mwlm Aradai,mkali wa physics mwlm Sarawati?
Mwalimu Sarawati kuna kipindi alihamishiwa Ifunda Technical miaka ya 2006,alikuwa Mwalimu wa Advance Physics pale,uwepo wa ulanzi pale ifunda ulimpendeza. ......huyu Proffesa na nguli wa Physics pombe iliharibu kipaji chake
 
Bwahahahahaha wa pondiiii

Sent from my SM-G950FD using JamiiForums mobile app
 
Si vibaya mtu ukikumbuka ulipotoka.

Nakumbuka siku ya kwanza kukanyaga Pugu ilikuwa tarehe 5 mwezi februari. ilikuwa ni siku ya mapumziko (public holiday), siku ya kuzaliwa CCM(Kwa miaka hiyo tarehe ya kuzaliwa CCM ilikuwa inaadhimishwa kitaifa na inakuwa ni mapumziko).

Nilipangiwa bweni la Maendeleo 2 na baada ya muda nilichaguliwa kuwa dom monitor. Kipindi kile pale Pugu mbele kidogo ya jiko kulikuwa na mradi wa nguruwe ambapo wanafunzi walikuwa wanawahudumia bila kujali wewe ni wa dini gani, mimi na wenzangu tulisimama kidete kupinga mradi ule hadi ukafutwa.

Nakumbuka shida ya maji ya kunywa pale shuleni na ilikuwa inatupasa twende pondi ya mzee wa shamba kuchota maji na kuja kuyafungia katika makabati yetu maarufu kama lockers.

Maisha ya bweni yalikuwa ni mazuri sana, ratiba ya chakula ilikuwa ni kama ifuatavyo: Tulikuwa tunakunywa uji saa 4, saa nane ugali maharage na usiku pia isipokuwa siku ya jumatano usiku ilikuwa ni siku ya wali maharage na alhamisi mchana tunapewa matunda(ndizi) na usiku wa alhamisi ni ugali kwa nyama(kipindi kile nyama tulikuwa tunaita kishoka).

Vyoo vya Pugu maarufu kwa jina la bettle vilikuwa vina harufu kali sana na ilikuwa inatupasa tuvue mashati kabla ya kuingia vinginevyo utanuka mpaka bwenini/darasani kwa harufu.

Pugu!!!!!!! nakumbuka mengi, walimu wangu akina Cobra "hilo ni jina la utani, jina lake halisi silikumbuki", mwl Charwe(huyu aliwahi kuninyang'anya viatu vyangu vya ngozi nilivyokuwa nimepewa na mzee wangu ambaye alikuwa ni afisa wa jeshi), mwl Juma Wasiwasi, Mwl Maliki, Mwl Shangwe, Mwl mukuru, marehemu mwl Swai, mabagala(sijui yupo wapi siku hizi), Mwl Mamilo, huyu alinikamata na "feki" la Physics NECTA na hatimae nikafutiwa matokeo yangu ya NECTA. Nimekumbuka sana shule yangu, ambayo imesaidia kujenga historia yangu.

WANA PUGU, MNAKUMBUKA NINI PUGU!!!! LET'S SHARE

Cobra jina lake halisi alikuwa anaitwa Wajimila. Pia umesahau kitu kimoja kwamba saa 1 asubuhi kulikuwa na Chai. Possibly mlikuta imeshafutwa, kwa sababu inaonyesha wewe ulisoma kipindi ambacho Second Master Mr. Swai alikuja hatimaye akaaga dunia, sisi tulimwacha akiwa bado yuko hai, ila Mkuru alikuwa ameshapewa promotion kwenda Wizara ya Elimu. Pia kulikuwa na Mwalimu Mzava, amabaye alikuwa mwalimu pekee aliyekuwa anamiliki gari pale shuleni. Waliokuwa wanasoma PCB walikuwa wanamhara Charwe ukiingia kwenye Practical ya Biology huna chura. Kwa hiyo haikuwa ajabu kuwaona watu wa PCB usiku wa Mbalamwezi wanahangaika kukamata chura kwenye nyasi. Mimi nilikuwa PCM na walimu wangu walikuwa Cobra kwa Physics na Rwezaura kwa Advanced mathemativcs. Mwaka wetu tulipiga mahesabu kwenye mtihani wa NECTA tukawa wa kwanza kitaifa, kwa hiyo Rwezaura ilibidi apate zawadi!
 
Cobra jina lake halisi alikuwa anaitwa Wajimila. Pia umesahau kitu kimoja kwamba saa 1 asubuhi kulikuwa na Chai. Possibly mlikuta imeshafutwa, kwa sababu inaonyesha wewe ulisoma kipindi ambacho Second Master Mr. Swai alikuja hatimaye akaaga dunia, sisi tulimwacha akiwa bado yuko hai, ila Mkuru alikuwa ameshapewa promotion kwenda Wizara ya Elimu. Pia kulikuwa na Mwalimu Mzava, amabaye alikuwa mwalimu pekee aliyekuwa anamiliki gari pale shuleni. Waliokuwa wanasoma PCB walikuwa wanamhara Charwe ukiingia kwenye Practical ya Biology huna chura. Kwa hiyo haikuwa ajabu kuwaona watu wa PCB usiku wa Mbalamwezi wanahangaika kukamata chura kwenye nyasi. Mimi nilikuwa PCM na walimu wangu walikuwa Cobra kwa Physics na Rwezaura kwa Advanced mathemativcs. Mwaka wetu tulipiga mahesabu kwenye mtihani wa NECTA tukawa wa kwanza kitaifa, kwa hiyo Rwezaura ilibidi apate zawadi!
People
Usually
Go
University
 
Cobra jina lake halisi alikuwa anaitwa Wajimila. Pia umesahau kitu kimoja kwamba saa 1 asubuhi kulikuwa na Chai. Possibly mlikuta imeshafutwa, kwa sababu inaonyesha wewe ulisoma kipindi ambacho Second Master Mr. Swai alikuja hatimaye akaaga dunia, sisi tulimwacha akiwa bado yuko hai, ila Mkuru alikuwa ameshapewa promotion kwenda Wizara ya Elimu. Pia kulikuwa na Mwalimu Mzava, amabaye alikuwa mwalimu pekee aliyekuwa anamiliki gari pale shuleni. Waliokuwa wanasoma PCB walikuwa wanamhara Charwe ukiingia kwenye Practical ya Biology huna chura. Kwa hiyo haikuwa ajabu kuwaona watu wa PCB usiku wa Mbalamwezi wanahangaika kukamata chura kwenye nyasi. Mimi nilikuwa PCM na walimu wangu walikuwa Cobra kwa Physics na Rwezaura kwa Advanced mathemativcs. Mwaka wetu tulipiga mahesabu kwenye mtihani wa NECTA tukawa wa kwanza kitaifa, kwa hiyo Rwezaura ilibidi apate zawadi!
historia nzuri sana namkumbuka mwalimu Nzoy wa practicals za physics A level sijui kama bado yupo..mwalimu mzava alikuwa na vitoto vizuri balaa vilikuwa jangwani nadhani sisi tukawa tunatembea humo humo daaah..alikuwa peace sana yule mzee sijui kama nae yupo..palikuwa na mwalimu mchekeshaji kila siku parade lazima atuambie maana ya jina docebit vos omnia sikumbuki pia jina lake..nakumbuka pia fainali ya uefa champions league 1999 kati ya man u na Bayern (man u walichukua ndonga dakika za nyongeza wote tulijua amelala tayari) watu tukahamia kwenye TV ya pale kanisani kuangalia mpira wakati kesho yake ilikuwa pepa ya national six... enzi hizo lami kweli inaishia mwisho wa lami...Daaa those were the days.. nasikia siku hizi raha tu lami imepita kuna ukuta maji sio ya shida nk
 
historia nzuri sana namkumbuka mwalimu Nzoy wa practicals za physics A level sijui kama bado yupo..mwalimu mzava alikuwa na vitoto vizuri balaa vilikuwa jangwani nadhani sisi tukawa tunatembea humo humo daaah..alikuwa peace sana yule mzee sijui kama nae yupo..palikuwa na mwalimu mchekeshaji kila siku parade lazima atuambie maana ya jina docebit vos omnia sikumbuki pia jina lake..nakumbuka pia fainali ya uefa champions league 1999 kati ya man u na Bayern (man u walichukua ndonga dakika za nyongeza wote tulijua amelala tayari) watu tukahamia kwenye TV ya pale kanisani kuangalia mpira wakati kesho yake ilikuwa pepa ya national six... enzi hizo lami kweli inaishia mwisho wa lami...Daaa those were the days.. nasikia siku hizi raha tu lami imepita kuna ukuta maji sio ya shida nk
Mimi niliondoka hapo mwaka 1992, wakati huo watoto wa mwalimu Mzava walikuwa wanasoma shule ya msingi, na wengine ndahani walikuwa bado wako chekechea. Ukiondoa Mzava ambaye sina taarifa zake, hao wengine uliowataja walishatwaliwa na Bwana. Mara ya mwisho nilifika Pugu ilikuwa mwaka 2013 na nilikuta walimu wawili tu walinifundisha, Mr Mabagala na Mrs Mugyabuso
 
Mimi niliondoka hapo mwaka 1992, wakati huo watoto wa mwalimu Mzava walikuwa wanasoma shule ya msingi, na wengine ndahani walikuwa bado wako chekechea. Ukiondoa Mzava ambaye sina taarifa zake, hao wengine uliowataja walishatwaliwa na Bwana. Mara ya mwisho nilifika Pugu ilikuwa mwaka 2013 na nilikuta walimu wawili tu walinifundisha, Mr Mabagala na Mrs Mugyabuso
daaaah heshima yako mkuu.wapumzike kwa amaani manguli wetu
 
Mimi niliondoka hapo mwaka 1992, wakati huo watoto wa mwalimu Mzava walikuwa wanasoma shule ya msingi, na wengine ndahani walikuwa bado wako chekechea. Ukiondoa Mzava ambaye sina taarifa zake, hao wengine uliowataja walishatwaliwa na Bwana. Mara ya mwisho nilifika Pugu ilikuwa mwaka 2013 na nilikuta walimu wawili tu walinifundisha, Mr Mabagala na Mrs Mugyabuso
Duu mzee una miaka mingapi mimi nimemaliza pale 2006
 
Si vibaya mtu ukikumbuka ulipotoka.

Nakumbuka siku ya kwanza kukanyaga Pugu ilikuwa tarehe 5 mwezi februari. ilikuwa ni siku ya mapumziko (public holiday), siku ya kuzaliwa CCM(Kwa miaka hiyo tarehe ya kuzaliwa CCM ilikuwa inaadhimishwa kitaifa na inakuwa ni mapumziko).

Nilipangiwa bweni la Maendeleo 2 na baada ya muda nilichaguliwa kuwa dom monitor. Kipindi kile pale Pugu mbele kidogo ya jiko kulikuwa na mradi wa nguruwe ambapo wanafunzi walikuwa wanawahudumia bila kujali wewe ni wa dini gani, mimi na wenzangu tulisimama kidete kupinga mradi ule hadi ukafutwa.

Nakumbuka shida ya maji ya kunywa pale shuleni na ilikuwa inatupasa twende pondi ya mzee wa shamba kuchota maji na kuja kuyafungia katika makabati yetu maarufu kama lockers.

Maisha ya bweni yalikuwa ni mazuri sana, ratiba ya chakula ilikuwa ni kama ifuatavyo: Tulikuwa tunakunywa uji saa 4, saa nane ugali maharage na usiku pia isipokuwa siku ya jumatano usiku ilikuwa ni siku ya wali maharage na alhamisi mchana tunapewa matunda(ndizi) na usiku wa alhamisi ni ugali kwa nyama(kipindi kile nyama tulikuwa tunaita kishoka).

Vyoo vya Pugu maarufu kwa jina la bettle vilikuwa vina harufu kali sana na ilikuwa inatupasa tuvue mashati kabla ya kuingia vinginevyo utanuka mpaka bwenini/darasani kwa harufu.

Pugu!!!!!!! nakumbuka mengi, walimu wangu akina Cobra "hilo ni jina la utani, jina lake halisi silikumbuki", mwl Charwe(huyu aliwahi kuninyang'anya viatu vyangu vya ngozi nilivyokuwa nimepewa na mzee wangu ambaye alikuwa ni afisa wa jeshi), mwl Juma Wasiwasi, Mwl Maliki, Mwl Shangwe, Mwl mukuru, marehemu mwl Swai, mabagala(sijui yupo wapi siku hizi), Mwl Mamilo, huyu alinikamata na "feki" la Physics NECTA na hatimae nikafutiwa matokeo yangu ya NECTA. Nimekumbuka sana shule yangu, ambayo imesaidia kujenga historia yangu.

WANA PUGU, MNAKUMBUKA NINI PUGU!!!! LET'S SHARE
Huyo Mabagala kama ume doji parade, alikua anatutoa nduki kutoka Azimio hadi Pond hiyo ilikua 2008.

Nakumbuka wakati wa graduation yetu mgeni rasmi alikuja Pugu boy mwenzetu Mh. Mizengo Pinda akawa anatupa stori za enzi zao walivuokua wanapiga msuli bila kusahau huku watoto wa Jangwani na Azania wakienda Pugu kuburudika nao theque
 
Hahaha mwalimu nampanda alikuwa anapenda kusema '' Nitakupiga halafu ukaseme kwa mama yako akija mimi nampanda"

Namkbuka Nzoi wa physics alikuwa anapenda kusema nakupa vimaksi vya kupunguza pocket money kutoka kwa wazazi wako,

Kweli maksi za Nzoi ni maksi za viatu haswa.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
PUGU PUGU PUGU.
Nimesoma pale chini ya uongozi wa mkuu wa shule anaitwa Mwero.Mwenyew anadai kirefu cha Pugu ni Pata Ujuzi Gawia Umma.
Huwezi taja chemistry bila kuwataja walimu kama Shilondinga (sijui jina lake halisi),mwl Kaundula,mwl Anjelo na Master plan Kibiriti.
Physics na wakali kama mzee Nzoe,Senzota n.k huku hesabu ikibebwa na wakali kama Madamu Muchunguzi na Shoki wa EGM..
Nakumbuka kuna mwalimu alikuwa ana watoto wake wa kike watu walikuwa wanoawatumia tu bila kujali haha,mi pia nilikuwa na mchepuko wangu wa kizaramo chini kidogo ya nyumba za walimu uliitwa Grace siku moja Mabagala alinikuta nao usiku tukakimbizana sana (alikuwa hachoki huyu mzee)

Kuna wakali kama Rwezahula (R.I.P) na wababe kama Nampanda na yule mwalimu mlemavu jina simkumbuki.
Kuna wanafunzi wasiosahaulika kama babu wa mapinduzi 7 bila kumsahau Pendeka haha Pugu acha iitwe Pugu.
Mama Mzula,Mama Amina na wengine ndo waliolainisha kidogo maisha ya pugu kwa kuuza vitu vidogo dogo.

Pugu na pondi....DH na kumiss chakula...... Kibiriti na Prac...... Lamboto na kudrop.......beto na harufu.......

Yote tisa,kumi ni yule Chatu wa Mapinduzi 7 kwenye mti mkubwa haha...huyu chatu watu wanadai bado yupo hadi leo.

Kwa sasa mimi ni injinia lakin ni zao la Pugu kabisa,proudly Pugu boy......Ita polisiiiiiiiii hahahaha
Kumbe mkal wa hesab SHOKI ni kitambo sana PUGU na msimazi wa miradi NAMPANDA mzee wa kilimo
 
Pugu na pond, P.E, kudrop kwenda lamboto, vidumu vya lita tano kutafta maji ya kunywa....

yote kwa yote Pugu inakuweka kuwa strong... Long live Pugu secondary and high school
 
Back
Top Bottom