Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mula MWAKIBETE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aha
Aaah we hongera yako..mi nilishawahi kichapwa viboko na walimu watano mfululizo
[emoji2] [emoji2] usista duu wa kitoto ule[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] masista duu mlikuwa
Hahahaahahhahaha ungesoma kolomije ungekma hahahMimi na umbea wangu kuna uvumi niliueneza school,shule nzima ikawa na attention kubwa,walimu walichanganyikiwa!
Wiki chache baadae tukawa tunafunga shule hivyo kukawa na school baraza,si ndipo wanafunzi wakanitaja ni mimi niliyeeneza uvumi?
Hahahaaaaaa uzuri mwl. Mkuu alikuwa ananipenda sana coz nilikuwa mjanja mjanja na kichwani nilikuwa njema akasema ataniita anipe adhabu wala hakuniita wala nini (nilijua tu kanikwepesha adhabu kiaina)
Dah R.IP Mwl. wangu kipenzi,will always love you. [emoji24] [emoji24]
ahaaaa kumbe umbea umezaliwa nao eehMimi na umbea wangu kuna uvumi niliueneza school,shule nzima ikawa na attention kubwa,walimu walichanganyikiwa!
Wiki chache baadae tukawa tunafunga shule hivyo kukawa na school baraza,si ndipo wanafunzi wakanitaja ni mimi niliyeeneza uvumi?
Hahahaaaaaa uzuri mwl. Mkuu alikuwa ananipenda sana coz nilikuwa mjanja mjanja na kichwani nilikuwa njema akasema ataniita anipe adhabu wala hakuniita wala nini (nilijua tu kanikwepesha adhabu kiaina)
Dah R.IP Mwl. wangu kipenzi,will always love you. [emoji24] [emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aiseeee siku moja tulitoka kantini tumechele (migahawa ya mitaani in st kayumba sec).
Bwana wee tukakamatwa, tukapelekwa sehem panaitwa uwanja wa damu (ukipelekwa pale unapigwa mpaka utoke damu ndio unaachiwa) Basi bwana tukapiga magoti, mwalimu akatupa azabu ya kupiga makofi. Tukapiga weeeeeeee makofi kama saa moja na nusu. Mikono ikajaa vidonge donge vya damu kwa ndani. Wacha tuanze kulia vidume wazimaa sasa mwalimu akatupa kelbu tatu tatu kila mtu (stiki3).
Akatupitisha kila darasa tuko tunapiga makofi huku tunaimba sisi ni wajinga, sisi ni wajingaaa. Nikakutanisha macho na kamchepuko wewe na miaibu yangu nikainamisha lisura langu
Ha ha ha ha wewe tena hujawah kufel kabisa namba yako moja mpka tatu basHahahaha nilichapwa nili drop darasan nakumbuka nilikua wa 48 kutka kumi bora hahah(jamii forum kila mtu alikua kumi bora hapa usiniulize)