Tukumbushie Showbiz kitambo hicho

Tukumbushie Showbiz kitambo hicho

MdengestanfromCuba

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
629
Reaction score
658
Habari wanajamvi, kwa wale wahenga na wafuatiliaji wa habari za showbiz za miaka hiyo leo tukumbushie kidogo story zilizokua 'hot' kipindi hicho, magazeti ya udaku kama Kiu, Uwazi, Ijumaa na Ijumaa wikienda, baadae likaja Sani ndio yalikua kama instagram yetu miaka hiyo, japo nilikua mdogo lakini bado niliweza kujua kilichoendelea

  • Mnalikumbuka kundi la Al Qaeda ambalo lilihusisha wadada maarufu wa mjini ambapo mimi namkumbuka Amina Chifupa pekee akiwa miongoni (wengine siwakumbuki)
  • Enzi ya mapedeshee wa miaka hiyo kina Medy Mpakanjia
  • Sinta akiwa kwenye prime yake
  • Kina dudubaya wa moto sana na mr nice
  • Mitaa maarufu miaka hiyo ilikua Sinza, Kinondoni, Mwananyamala, Magomeni ( Almost matukio makubwa ya mastaa lazima hii mitaa ilikua ihusike)
  • Enzi hizo Mairmatha Jesse akiwa staa na mtangazaji mkubwa tu
Karibuni watoto wa mjini wa kitambo hiyo
 
Habari za celeb nilikuwa nazifatilia kitambo hiko...... Kupitia ijumaa weekenda aseeh mara diamond hivi, mara huyu vile, wema kipindi hiko ndo superstar kweli yaani hakuwa na mpinzani

Ukigeuka huku wema aitwa msagaji, kina jackline wolper,

Mara yaliyojiri bilcanas sehemu pendwa jijini dar, insta ilikuja kumaliza kila kitu aseeh......

By then nyumbn magazeti ya ijumaa weekenda na mwananchi ndo nilikuwa nayafatilia sana huwezi amini hii Leo gazeti hata siwezi kuwa na mood ya kulisoma

Nifah Mwachiluwi
 
Habari za celeb nilikuwa nazifatilia kitambo hiko...... Kupitia ijumaa weekenda aseeh mara diamond hivi, mara huyu vile, wema kipindi hiko ndo superstar kweli yaani hakuwa na mpinzani

Ukigeuka huku wema aitwa msagaji, kina jackline wolper,

Mara yaliyojiri bilcanas sehemu pendwa jijini dar, insta ilikuja kumaliza kila kitu aseeh......

By then nyumbn magazeti ya ijumaa weekenda na mwananchi ndo nilikuwa nayafatilia sana huwezi amini hii Leo gazeti hata siwezi kuwa na mood ya kulisoma

Nifah Mwachiluwi
Story ilio niacha hoi ni billnas na nandy ile pichu ya ndani ilikuwa size ngapi?
 
Story ilio niacha hoi ni billnas na nandy ile pichu ya ndani ilikuwa size ngapi?

Hii stori nayo inaelekeana na miaka anayozungumzia mleta uzi kweli?
Manake Nandy na ile chupi ni 2018/2019 hapo

Alivyoorodhesha mleta mada binafsi najua jua kuhusu Dudu baya hao wengine sikumbuki vizuri
 
Ni nyonge
Hii stori nayo inaelekeana na miaka anayozungumzia mleta uzi kweli?
Manake Nandy na ile chupi ni 2018/2019 hapo

Alivyoorodhesha mleta mada binafsi najua jua kuhusu Dudu baya hao wengine sikumbuki vizuri
za
 
Kwenye story za udaku zamani nakumbuka Jackline Wolper alikuwa chuma. Kipindi hicho kabla hajanenepa miguu na Diamond na Harmonize bado walikuwa vishuka tu
 
Watu walikuwa wananunua gazeti la Ijumaa, Amani na Uwazi wasome hadithi za kijinga za Shigongo
 
wasanii wa zamani walikuwa wanaogopa scandal, leo hii imekuwa tofauti wanaziita kick
 
watu wanamtaja Diamond kwel jaman, Dayamond si wa juzi tu, nakumbuka gazeti la picha ya Mariamu Odemba akiwa miss Tanzania nililipamba geto, hizo hizo ukiingia geto kwa msela chumba kimepambwa magazeti, redio spika imechomolewa imewekwa kwenye ndoo ili upate mdundo mwanana, enzi hizo mtangazaji aliyevuma yule wa ITV kwenye kipindi cha ukimwi ni huu mpaka akachukua tuzo ya mama Africa naye ni Beatrice Mkwasa ilipofika kwenye utawala wa JK akapewa ukuu wa wilaya.

Enzi hizo wagosi wa Kaya wanasumbua na vibao kama wauguzi, Walimu tuna hali ngumu, huku Bwana misosi anasema nitoke vipi, huku sister P ft Alichok wakisema wanachonga sana juu yangu, dah ukija kwenye sanaa huku kaole wanasumbua balaa, unamkuta Kanumba, Ray akina Monalisa, Dr chen
 
watu wanamtaja Diamond kwel jaman, Dayamond si wa juzi tu, nakumbuka gazeti la picha ya Mariamu Odemba akiwa miss Tanzania nililipamba geto, hizo hizo ukiingia geto kwa msela chumba kimepambwa magazeti, redio spika imechomolewa imewekwa kwenye ndoo ili upate mdundo mwanana, enzi hizo mtangazaji aliyevuma yule wa ITV kwenye kipindi cha ukimwi ni huu mpaka akachukua tuzo ya mama Africa naye ni Beatrice Mkwasa ilipofika kwenye utawala wa JK akapewa ukuu wa wilaya.

Enzi hizo wagosi wa Kaya wanasumbua na vibao kama wauguzi, Walimu tuna hali ngumu, huku Bwana misosi anasema nitoke vipi, huku sister P ft Alichok wakisema wanachonga sana juu yangu, dah ukija kwenye sanaa huku kaole wanasumbua balaa, unamkuta Kanumba, Ray akina Monalisa, Dr chen
huku pia walikuepo kina Ruge na Kusaga wakisumbua na fiesta yao, bila kumsahau mkurugenzi wa ASET mama Asha baraka, kule uncle Hashimu Lundenga
 
Back
Top Bottom