Trayvess Daniel
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 651
- 1,244
Story za shigongo zilijua kuniteka.... na kuchana lyrics za nyimbo kubandika kwenye daftari....
Enzi hizo nyimbo za kibongo.zilikua zinabamba sana maana zilikua kama story so unajikuta umekariri effortlessly ....
Daz baba nishakua mtu mzima mi
Sasa nahitaji mrembo wa kuishi nami
Kuzaa na kulea watoto nami
Kwenye shida raha avumilie nami
Asije nifanyia kama wa barua
Akasababisha nijaribu kujia
Anipe mapenzi nimpe mapenzi
Nae awe wangu asinifanyie ushenziiiiii
Walahi it must be have been nice being man back then..... mapenzi yalikua very real, siku hizi vijana wanahangaika tu na UTI mjini humu
Enzi hizo nyimbo za kibongo.zilikua zinabamba sana maana zilikua kama story so unajikuta umekariri effortlessly ....
Daz baba nishakua mtu mzima mi
Sasa nahitaji mrembo wa kuishi nami
Kuzaa na kulea watoto nami
Kwenye shida raha avumilie nami
Asije nifanyia kama wa barua
Akasababisha nijaribu kujia
Anipe mapenzi nimpe mapenzi
Nae awe wangu asinifanyie ushenziiiiii
Walahi it must be have been nice being man back then..... mapenzi yalikua very real, siku hizi vijana wanahangaika tu na UTI mjini humu