Tukutane Hapa Machizi Game Wenzangu

Tukutane Hapa Machizi Game Wenzangu

Cytochrome p450

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2019
Posts
5,638
Reaction score
15,044
Wakuu nimeona niusogeze huu uzi karibu tuweze kupeana A-Z kwa wale wapenzi wa kucheza magemu.

Kwa upande wangu, nilitegemea nitaacha nikifikia ukubwani lakini mpaka sasa najikuta bado nipo. Nafikiri ni starehe yangu nyingine hapa duniani.

Njooni tujuane na tupeane hint mbalimbali na pia tushare michezo yoyote ya Game uliyocheza mpaka sasa, either kwa PS4, PS3, PS2, PS1, X-BOX, kwa laptop ama kwa simu janja.

Karibuni.
images.jpg
 
Mambo mengi Muda mchache, nisha kosa time siku hizi na PS, mala chache sana japo nauhusudu sana huo mchezo.
 
Mambo mengi Muda mchache, nisha kosa time siku hizi na PS, mala chache sana japo nauhusudu sana huo mchezo.
Sure mzee! Huwa inatokea. Ila ukipata nafasi lazima udurusu durusu kidogo
 
Wakuu nimeona niusogeze huu uzi karibu tuweze kupeana A-Z kwa wale wapenzi wa kucheza magemu.

Kwa upande wangu, nilitegemea nitaacha nikifikia ukubwani lakini mpaka sasa najikuta bado nipo. Nafikiri ni starehe yangu nyingine hapa duniani.

Njooni tujuane na tupeane hint mbalimbali na pia tushare michezo yoyote ya Game uliyocheza mpaka sasa, either kwa PS4, PS3, PS2, PS1, X-BOX, kwa laptop ama kwa simu janja.

Karibuni.View attachment 1356374
IMG-20200213-WA0034.jpeg
 
Huyo mchizi niliepanga nae chumba yeye mwenyewe pia gamer kama mimi.

Na mali ipo ndani. We unafikiri nini kinachofuata hapo
 
Back
Top Bottom