Tukutane hapa tuliowahi kufanya mapenzi na binamu au ndugu zetu wa karibu

Halali yako sio halali kwa kila mtu.. me naliwa vizuri tu. Ila sio na mtu mwenye kiharufu cha undugu na mimi
 
Ila hii dunia jamani
Sahivi hata mtu kwa ndugu wa karibu unatakiwa ukae nao kwa password.

Wanaume wamekuwa walaku wa nyuchi mpk sio vizuri..
sasa mtu anajijua fika kamuoa dada yako, lkn anakutongoza. Khaaa
Sasa kama dada yako mvivu na hajui mambo?
Sasa unaishi kwangu kutafuta nini kama sio kuliwa?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
apo kwenye kutoa mimba zaid ya 10 nme ona We ni boya tu
 
Nina Zambi lakini kumbe me nina kidogo sana...
Siwezi kuku judge....
Kama nia ya kumuacha ipo then ipo siku mtaachana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…