Ina maana wanawaka wa humu hakuna hata mmoja ambaye ni binam? Maana sijaona hata mmoja aliyetoa ushuhuda wake jinsi alivyoliwa na binamu yake?
Au mpo ila ndiyo kusema wanaume wana utoto mwingi kisi hawawezi kutunza mambo au kuacha yapite mpaka wayaropoke?
AiseeeeeeeHapana ni mamako
Hahahahahahhahahaaa aseeDuu binamu yangu,alikuwa mtamu kiasi kwamba niliendelea kumtafuna akiwa ndoani but nowdays nimemweka mbali baada ya kupata watoto watatu nami kupata familia yangu ndo tukaachana kuchapana but tukabaki kuendelea kujuliana hali watoto wetu wanatembeleana bila shida
Wtf[emoji23][emoji23][emoji23]Mara nying mabinamu watamu balaa nimekula km ote kpind hicho now washaolewa
Eh[emoji1787]Kwel mkuu mara nying binamu ndo wanaliwa me niliwala karibia ote [emoji16]
Hebu niambie hii incest ina madhara kiasi gani[emoji33][emoji33][emoji33]Yaani we acha tu uko na mke kumbe binamu akipata mwanya anakumbushia.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hahahahhahahanione kindugu ndugu sijui mjomba sijui kitoto cha nani, sijui ba mkubwa kinakaa kaa karibu na binti angu....ntakata pmb
Stara na haya ndio ubinadamu wenyewe...na ndio ilipo tofauti kati ya mnyama wa porini na mwanadamu.......Anayeficha ndio joka kabisa. Anaweza hata kuua akawa kimya au anajua jambo linalotafutwa na jamii nzima ye kajikausha nawaogopa sana watu wa haiba hiyo.
Wao hujidhani wasiri kumbe waovu.
Yea mapenz ya ndugu matam ila ss tumeeza kuacha kwa kutoonana kabisa. Tunakwepana maana tukiwa peke etu tu tatizoHaitasaidia kitu, badala yake tutajidhalilisha tu makanisani, wakati tunajua hatutaacha, nikimuona tu binamu yangu mwili wote una relax na hata tukichati tu aah, yeye ashashindwa kuwa wachumba hata akipata leo kesho anamuacha ananihitaji mm.
Kwa mfano chuoni, wenzie wananifaham kama ndie mmewe, nikifika tu aaah babaa kafika jamani duniani kuna mengi ya ajabu, najilaumu kwanini nilianza kudate na binamu jamani.
Na ni ngumi nishampiga kweli lakini hatuachani, kuna kipindi alikuja kwangu akitokea shule alikuwa form four nilimpiga hadi akazimia, alilazwa wiki wodini lkn no kuachana jamani nilijiletea janga.
Nawashauri, kwa wale ndugu ambao hawajaanza wasije wakathubutu ni tamu ni hatari na utapata taabu sana, utakosana na kila mtu, tulianza kwa kuficha bt ilifika sehemu tukashindwa kuficha, ikawa ni live sasa hadi leo hii.
Nendeni BurundiMila na desturi ya kabila letu wanasema hairusu, ila wangeturuhusu tu make tunapata shida, tunahitaji tuachwe tuishi kwa amani na furaha
hahahahahhaha usinune basi
Tuliza mshono naingia mjengoni halaf utaona maajabu yanguπ π π π Sasa naanza kununa? Kwa sababu ya kuniita Fala? Nitumie basi hizo maelezo za B' Cards via my whatsapp
βMlianzaje anzaje?Yea mapenz ya ndugu matam ila ss tumeeza kuacha kwa kutoonana kabisa. Tunakwepana maana tukiwa peke etu tu tatizo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hainaga ushemejiIla hii dunia jamani
Sahivi hata mtu kwa ndugu wa karibu unatakiwa ukae nao kwa password.
Wanaume wamekuwa walaku wa nyuchi mpk sio vizuri..
sasa mtu anajijua fika kamuoa dada yako, lkn anakutongoza. Khaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee bhanaa.Uzinifu nani asiyezini hapa...
Watanzania acheni unafiki ndo maana mvua zinasua sua shauri yenu...
Halaf leo nimejaa mood so sitak kuiharibu ngoja ngoja nipotezee ntafute Chapaa
Nawahi Western Union kupokea muamala sitaki kuharibu mood kabisaaaa
Shem and mtongoza mdogo wa kiume wa mkewe, km sio ukichaa nn??? KhaaaaahHii Dunia inamambo, munaenda Hadi Kwa mpalange na ndugu zeny wa damu