Tukutane hapa tunaopenda bidhaa halisi yaani original na kwa bei rahisi

Tukutane hapa tunaopenda bidhaa halisi yaani original na kwa bei rahisi

Perfectz

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2017
Posts
9,045
Reaction score
28,216
Kutokana na mabadiriko ya sayansi na teknolojia kumekuwa na muingiliano mkubwa wa bidhaa mbali mbali.
Zipo bidhaa ambazo ni bora na ni original lakini pia zipo ambazo ni feki na bado unaweza kuuziwa kwa bei ile ile ya original.
Pia kuna bidhaa ambazo ni brand maarufu duniani lakini kuna feki zake pia ambazo ni ngumu zaidi kuzitambua.Mfano wa brands hizo ni Apple, Samsung, Sony, Hp, Dell, Huawei n. k. Nyingine ziko sekta ya madawa, usafiri, mavazi n. K
Kupitia uzi huu ningependa tujulishane wapi tunaweza pata bidhaa nzuri na kwa bei rahisi pia inayoendana na maisha ya kitanzania.Ikiwezekana tupate na picha pamoja na jina la sehemu ulipoipata bidhaa hiyo
Asanteni wakuu pia karibuni sana
#STAYSAFE
 
Vitu OG vinahitaji mtu upasuke...hapo hakuna shortcut ni kutoa pesa tu...hizo mtumba ni kujaza namba za mafundi kwenye phonebook yako tu...mara fundi redio..fundi tv..fundi simu..fundi friji..fundi maiko nk
 
Binafsi nipo sensitive sana na vitu OG,
Km sina hela bora ninunue mtumba kuliko fake mpya...

N mwezi sasa nilikua nabishana na jamaa yangu kuhusu Yale maviatu yanayouzwa town sikuhizi kwa 80000-150000, nikamwambia kuliko ununue haya madude bora utoe 50000 ukachukue mtumba karume.

Ile sio pure leather ni synthetic leather.
Akadharau
Kanunua lina week ya tatu lishakua bwanga,
Anavaa na soksi mbili.
Nimemwambia bado kufumuka.
 
Binafsi nipo sensitive sana na vitu OG,
Km sina hela bora ninunue mtumba kuliko fake mpya...

N mwezi sasa nilikua nabishana na jamaa yangu kuhusu Yale maviatu yanayouzwa town sikuhizi kwa 80000-150000, nikamwambia kuliko ununue haya madude bora utoe 50000 ukachukue mtumba karume.

Ile sio pure leather ni synthetic leather.
Akadharau
Kanunua lina week ya tatu lishakua bwanga,
Anavaa na soksi mbili.
Nimemwambia bado kufumuka.
Me Kuna boots nilinunua Amazon mwaka jana na kitu bado kipya kabisa. #Wolverine1000Mile. Sema nilipasuka
 
Binafsi nipo sensitive sana na vitu OG,
Km sina hela bora ninunue mtumba kuliko fake mpya...

N mwezi sasa nilikua nabishana na jamaa yangu kuhusu Yale maviatu yanayouzwa town sikuhizi kwa 80000-150000, nikamwambia kuliko ununue haya madude bora utoe 50000 ukachukue mtumba karume.

Ile sio pure leather ni synthetic leather.
Akadharau
Kanunua lina week ya tatu lishakua bwanga,
Anavaa na soksi mbili.
Nimemwambia bado kufumuka.
hapo kuna kimoja cha kariakoo elfu 80 na kingine travis scott og kinagonga usd 300 na ushee
IMG-20200419-WA0031.jpg
Screenshot_20200325-225843_Instagram.jpg
 
Binafsi nipo sensitive sana na vitu OG,
Km sina hela bora ninunue mtumba kuliko fake mpya...

N mwezi sasa nilikua nabishana na jamaa yangu kuhusu Yale maviatu yanayouzwa town sikuhizi kwa 80000-150000, nikamwambia kuliko ununue haya madude bora utoe 50000 ukachukue mtumba karume.

Ile sio pure leather ni synthetic leather.
Akadharau
Kanunua lina week ya tatu lishakua bwanga,
Anavaa na soksi mbili.
Nimemwambia bado kufumuka.
Wafanyabiashara wa nguo na viatu wanatuletea vitu vya kipuuzi kweli..Yaani hata ukiingia kwenye hizi mall kubwa unapata vitu vya ajabu..yaani hata kupata boxer za pure cotton ni mpaka uwe mji unaujua vizuri
 
Back
Top Bottom