Tukutane hapa tunaosubiri United States Presidential Inauguration!

Tukutane hapa tunaosubiri United States Presidential Inauguration!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,128
Reaction score
21,885
Yes wakuu,

Muda si mrefu POTUS anachukua kiti chake kimya.

Maeneo ya Capitol building naona ulinzi umeimalishwa hatari, naona jet fighters za SANDF na SAA zinapita pita flani kuhakikisha ulinzi.

Sijui inaugural ball itakua leo Leo ama?
 
🤣🤣🤣
6486122.jpg
 
Yes wakuu,
Muda si mrefu POTUS anachukua kiti chake kimya. Maeneo ya Capitol building naona ulinzi umeimalishwa hatari,naona jet fighters za SANDF na SAA zinapita pita flani kuhakikisha ulinzi. Sijui inaugural ball itakua leo Leo ama?
Hamtakaa mtawale kwa amani, si mumeniibia kura zangu
 
Yes wakuu,
Muda si mrefu POTUS anachukua kiti chake kimya. Maeneo ya Capitol building naona ulinzi umeimalishwa hatari,naona jet fighters za SANDF na SAA zinapita pita flani kuhakikisha ulinzi. Sijui inaugural ball itakua leo Leo ama?
SANDF na SAA zinamaanisha nini?
 
Tukio liko mubashara BBC, Ak jazira,CGTN, Sky news nk. nk

Sehemu mbalimbali nilizopita nimeshuhudia watanzania wakishuhudia sherehe hizi za kidemokrasia wakiwa katika kumbi za starehe kana kwamba wanaangalia mpira.

Maendeleo hayana vyama!
With an exception of Jiwe, Mihayo, Ndugai, Kaijage, DEDs, Siro etc etc
 
Back
Top Bottom