Trump nilimpenda ila aliniudhi alipoanza kuighasi Tanzania. Afadhali ameondokaTukio liko mubashara BBC, Ak jazira,CGTN, Sky news nk. nk
Sehemu mbalimbali nilizopita nimeshuhudia watanzania wakishuhudia sherehe hizi za kidemokrasia wakiwa katika kumbi za starehe kana kwamba wanaangalia mpira.
Maendeleo hayana vyama!
Trump ameondoka kihuni!Trump nilimpenda ila aliniudhi alipoanza kuighasi Tanzania. Afadhali ameondoka
Hata Trump amedai kaibiwa kura!Tuko tunafuatilia kwa bashasha kuliko tulivyofuatilia kuapishwa kwa wezi wa kura hapa nchini.
Ndiyo maana kamwambia kua anajua alishinda! Vinginevyo, hakukuhitajika Ulinzi wa namna hii.Maeneo ya Capitol building naona ulinzi umeimalishwa hatari,n
Hata Trump amedai kaibiwa kura!
Sasa anayekuja mbona utamuona Trump alikuwa anaipenda Tanzania. Anayekuja hacheki na kima.Trump nilimpenda ila aliniudhi alipoanza kuighasi Tanzania. Afadhali ameondoka
Acha uongo wako mkuu, uwe na facts basi:Sasa anayekuja mbona utamuona Trump alikuwa anaipenda Tanzania. Anayekuja hacheki na kima.
Huyu dogo namfollow IG fastaKuna watoto wana akili jamani
Sio huku kwetu utaskia: "jamiii sikilizeniii, nina mengi ya kuwaaambia..., [emoji2][emoji2][emoji2]Kuna watoto wana akili jamani
Huko siyo kula shavu Mkuu, ni kupenda.Naona Lady Gaga anakula shavu
Mungu mkubwa huwezi kunyanyasa Tanzania ati kwa vile JPM ameminya walivyokuwa wanatuibiaTrump ameondoka kihuni!