Tukutane hapa tuyachambue majimbo yanayoongozwa na vyama vyetu ccm chadema cuf

Tukutane hapa tuyachambue majimbo yanayoongozwa na vyama vyetu ccm chadema cuf

eden kimario

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
10,356
Reaction score
16,379
Wale wote wanaopenda kujua ni chama gani kinafanya poa katika majimbo kinachoyashikilia tukutane hapa kuelekea 2020
Je ni jimbo gani lina wananchi wasiyo na matumaini maji shida,hospitali shida, zahanati shida, shule za chekechea shida, shule za msingi shida, shule za secondary shida, chuo cha veta hakuna, chuo cha ualimu hakuna,

Tukutane hapa nani ana afadhali kuelekea 2020
Ni mbunge yupi analitendea haki jimbo lake huko lilipo
 
Wale wote wanaopenda kujua ni chama gani kinafanya poa katika majimbo kinachoyashikilia tukutane hapa kuelekea 2020
Je ni jimbo gani lina wananchi wasiyo na matumaini maji shida,hospitali shida, zahanati shida, shule za chekechea shida, shule za msingi shida, shule za secondary shida, chuo cha veta hakuna, chuo cha ualimu hakuna,

Tukutane hapa nani ana afadhali kuelekea 2020
Ni mbunge yupi analitendea haki jimbo lake huko lilipo
Jimbo la moshi mjini mpaka 2020 hakuna barabara inayostahili lami itakuwa hajapigwa lami,kuhusu shule sisi sasa hivi tunamalizia computer sio majengo tena,kuhusu hospitali moshi kila kituo cha afya kina ambulance shida ni wagonjwa tu, ushahidi wa hili hata alipokuja mei moshi hatukumwomba chochote,,,,,,hiyo ndiyo moshi ya CHADEMA
 
Chadema ni chama cha wadeki mabarabara hakifai kuzungumuziwa mbele ya jamii ya watu wenye uelewa
 
Jimbo la moshi mjini mpaka 2020 hakuna barabara inayostahili lami itakuwa hajapigwa lami,kuhusu shule sisi sasa hivi tunamalizia computer sio majengo tena,kuhusu hospitali moshi kila kituo cha afya kina ambulance shida ni wagonjwa tu, ushahidi wa hili hata alipokuja mei moshi hatukumwomba chochote,,,,,,hiyo ndiyo moshi ya CHADEMA
Hongereni wana moshi mjini
 
Au wabunge wenu mliowachagua kupitia ccm chadema cuf hawajafanya kitu
 
Jamani anayelijua jimbo la Kibajaji na yule Ngamia yakoje??
 
Kwa masikitiko makubwa ninatoka jimbo la bwana mmoja wa cdm anayeongea sana pia ni rais wa TLS kasahau jimbo lake hali ni mbaya kuanzia huduma za afya, maji, shule n.k

Yaani jimbo zima vituo vya afya hakuna hata kimoja chenye uwezo wa kufanya operation zaidi ya tohara. Huwa najiuliza hela za jimbo huwa anazipeleka wapi maana hafanyi chochote zaidi ya kupiga porojo aonekane kwenye vyombo vya habati
Lini ulikuwa singida kijana wa Lumumba??
 
Kwa masikitiko makubwa ninatoka jimbo la bwana mmoja wa cdm anayeongea sana pia ni rais wa TLS kasahau jimbo lake hali ni mbaya kuanzia huduma za afya, maji, shule n.k

Yaani jimbo zima vituo vya afya hakuna hata kimoja chenye uwezo wa kufanya operation zaidi ya tohara. Huwa najiuliza hela za jimbo huwa anazipeleka wapi maana hafanyi chochote zaidi ya kupiga porojo aonekane kwenye vyombo vya habati
Safi
 
Nimefika Mikumi na sikutegemea kukuta watu wakimsifia mbunge wao joseph haule
 
Jimbo la segerea Bona kaluwa amejisahau sana anakumbuke alivyokuja kuomba kura alikuwa na ahadi kibao au anafikir vijana atawadanganya tena na juice za furusana?
 
Back
Top Bottom